Mtanzanika JF-Expert Member Joined Feb 27, 2012 Posts 2,389 Reaction score 1,131 Jul 3, 2012 #1 Padri na sister walikuwa wanasafiri wakafika sehemu fluani ikawa ni usiku,ikawabidi waende kulala guest. Kufika guest vyumba vimejaa kimebaki kimoja tu! wakaamua kulala pamoja ila wakajitenga kwa kutumia MTO. Iilipofika asubuhi wanataka kutoka wakakuta gate limefungwa,padri akamwambia sister "unaonaje turuke gate?" Sister akajibu "Nyooo ulishindwa kuruka mto... utaweza gate!!"
Padri na sister walikuwa wanasafiri wakafika sehemu fluani ikawa ni usiku,ikawabidi waende kulala guest. Kufika guest vyumba vimejaa kimebaki kimoja tu! wakaamua kulala pamoja ila wakajitenga kwa kutumia MTO. Iilipofika asubuhi wanataka kutoka wakakuta gate limefungwa,padri akamwambia sister "unaonaje turuke gate?" Sister akajibu "Nyooo ulishindwa kuruka mto... utaweza gate!!"
Jovegg Member Joined Nov 17, 2011 Posts 64 Reaction score 8 Jul 4, 2012 #2 ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimesha simamishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ninihiiiiiiiiiiiii
ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimesha simamishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ninihiiiiiiiiiiiii
comson JF-Expert Member Joined Dec 22, 2010 Posts 288 Reaction score 41 Jul 4, 2012 #3 :eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2:
mjomba wa kale JF-Expert Member Joined Jan 18, 2012 Posts 266 Reaction score 56 Jul 4, 2012 #5 hiyo kali mwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Globu JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,093 Reaction score 2,604 Jul 4, 2012 #6 Safi sana Mkuu.
Erickb52 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 18,554 Reaction score 11,485 Jul 4, 2012 #7 Hahahahaaaaa
mtamanyali JF-Expert Member Joined Dec 6, 2011 Posts 1,161 Reaction score 616 Jul 4, 2012 #8 ha ha ha ha ha ha
I issabela Senior Member Joined Jun 27, 2012 Posts 148 Reaction score 17 Jul 4, 2012 #9 teh teh teh ya ukweli hiyo
Erickb52 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 18,554 Reaction score 11,485 Jul 4, 2012 #10 issabela said: teh teh teh ya ukweli hiyo Click to expand... umeona eeh
mayome Member Joined Jan 17, 2012 Posts 62 Reaction score 21 Jul 4, 2012 #11 ya zaman kidogo hii faza.!!!!
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Jul 4, 2012 #12 Kibongobongo ngumu kutokea
Pancras Suday JF-Expert Member Joined Jun 24, 2011 Posts 8,143 Reaction score 3,848 Jul 4, 2012 #13 Kama ni mimi padri ningemjibu sister kuwa mto ulikuwa na mamba wengi
M Museven JF-Expert Member Joined Aug 22, 2011 Posts 629 Reaction score 451 Jul 4, 2012 #14 Nimeipenda hiyo.
W Willie erick New Member Joined Jul 4, 2012 Posts 4 Reaction score 0 Jul 4, 2012 #15 Kumbe csta alkuwa na hamu
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Jul 5, 2012 #16 Huyo Padri ni mtoto wa mombasa huyo, aliposema kuruka geti hakuwa na maana hiyo, halafu na huyo sister ni mtoto wa kinondoni, aliposema mto alimaanisha kale kadimbwi maji kupwa maji kujaa, ambako shurti uvuke kwa kutumia mguu mmoja.
Huyo Padri ni mtoto wa mombasa huyo, aliposema kuruka geti hakuwa na maana hiyo, halafu na huyo sister ni mtoto wa kinondoni, aliposema mto alimaanisha kale kadimbwi maji kupwa maji kujaa, ambako shurti uvuke kwa kutumia mguu mmoja.
piper JF-Expert Member Joined Jan 17, 2012 Posts 3,253 Reaction score 612 Jul 6, 2012 #17 Alitaka apate mambo mwenzie kambania
Uliza_Bei JF-Expert Member Joined Feb 17, 2011 Posts 3,216 Reaction score 994 Jul 6, 2012 #18 Nyoo ni vagina kwa wasukuma
KML JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 861 Reaction score 134 Jul 6, 2012 #19 ​kwani mto wa kuluka au wa kusogeza tuu
Leak Platinum Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,939 Reaction score 43,569 Jul 6, 2012 #20 Nomaaaaaaaaaaaa