kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 514
Kauli ya hovyo ilishawahi tolewa na rais. Alikuwa anajua ni Haki ya Kikatiba ya watumishi, lakini kwa jeuri akajibu hivyo. Alisahau kuna Uchaguzi tena after 5 years.
Leo akiulizwa hana jibu tena anaahidi tena kuongeza kama vile alivyoahidi maisha bora ya watumishi 2015 akiingia madarakani. Akatupilia mbali hiyo ahadi, na kuwanyanyasa watumishi, na kuleta tumbua tumbua ya hovyo nchi mzima, yaani kuwafedhehesha watumishi na kuwanyima Haki zao.
Leo hana jibu ndo maana amepwaya sana. Alifikiri kununua ndege, kujenga fly over ya Ubungo, Bwawa la Nyerere na reli watu watampaisha na kumuongezea mitano tena. Kaona imeshindika vibaya mno. Alisahau maisha ya watu akapenda vitu kutaka Tanzania iwe kama Ulaya ndani ya miaka mitano. Icho kitu hakiwezekani, ulaya na Marekani vimechukua miaka mingi kufikia hali walionayo.
Leo Marekani kampeni ni kuhusu AJIRA kwa wananchi, maisha ya watu, Bima ya afya, yaani kiufupi ni swala la maendelo ya watu, ila ndani ya hayo maendeleo ya watu, kuna maendeleo ya vitu.
Kama ni rushwa, watu awamu hii wamepiga hela kweli kweli kuli EPA, RICHMOND, IPTL sijui nini! Matrilion yamepotea kusiko julikana kimia kimia, huku maslahi ya watumishi na wanyonge wengi yako taabani.
Tujiuluize kwa mini Mkaguzi Prosefa Assad alitolewa na kukaliwa ku-renew mkataba, nahisi alionekana mwiba, ndo maana alisema binge ni dhaifu, Ndugai akaja huu, maana wanashirikiana. CCM bado wanataka wabunge wakendelee kupitisha matumizi haramu huku maisha ya watu yakizidi kudidimia.
Wakataeni wabunge wa CCM, hawana msaada kwa taifa hili, wanajinufaisha wao tuu, huku maisha ya wanyonge hana zaidi kuwa mabaya.
VIVA WAPINZANI, SAFARI HII NI KUJENGA AU KUBOMOA. WANANCHI MUKIKOSEA IMEKULA KWENU
Leo akiulizwa hana jibu tena anaahidi tena kuongeza kama vile alivyoahidi maisha bora ya watumishi 2015 akiingia madarakani. Akatupilia mbali hiyo ahadi, na kuwanyanyasa watumishi, na kuleta tumbua tumbua ya hovyo nchi mzima, yaani kuwafedhehesha watumishi na kuwanyima Haki zao.
Leo hana jibu ndo maana amepwaya sana. Alifikiri kununua ndege, kujenga fly over ya Ubungo, Bwawa la Nyerere na reli watu watampaisha na kumuongezea mitano tena. Kaona imeshindika vibaya mno. Alisahau maisha ya watu akapenda vitu kutaka Tanzania iwe kama Ulaya ndani ya miaka mitano. Icho kitu hakiwezekani, ulaya na Marekani vimechukua miaka mingi kufikia hali walionayo.
Leo Marekani kampeni ni kuhusu AJIRA kwa wananchi, maisha ya watu, Bima ya afya, yaani kiufupi ni swala la maendelo ya watu, ila ndani ya hayo maendeleo ya watu, kuna maendeleo ya vitu.
Kama ni rushwa, watu awamu hii wamepiga hela kweli kweli kuli EPA, RICHMOND, IPTL sijui nini! Matrilion yamepotea kusiko julikana kimia kimia, huku maslahi ya watumishi na wanyonge wengi yako taabani.
Tujiuluize kwa mini Mkaguzi Prosefa Assad alitolewa na kukaliwa ku-renew mkataba, nahisi alionekana mwiba, ndo maana alisema binge ni dhaifu, Ndugai akaja huu, maana wanashirikiana. CCM bado wanataka wabunge wakendelee kupitisha matumizi haramu huku maisha ya watu yakizidi kudidimia.
Wakataeni wabunge wa CCM, hawana msaada kwa taifa hili, wanajinufaisha wao tuu, huku maisha ya wanyonge hana zaidi kuwa mabaya.
VIVA WAPINZANI, SAFARI HII NI KUJENGA AU KUBOMOA. WANANCHI MUKIKOSEA IMEKULA KWENU