Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,960
- 134,049
Imeripotiwa maeneo kadhb katika sherehe mbalimbali kupigwa sana "nyimbo za Lowasa".Katika mabaa,mikesha ya harusi,bathdei,nk nyimbo za kumfagilia mgombea urais wa Chadema zimeripotiwa kutamba.Japo wanaCCM kadhaa wamekuwa wakileta upinzani bila mafanikio kutokana na wingi wa wahudhuriaji wanaovutiwa na nyimbo hizo.Nyimbo zinazoripotiwa kukonga na kubamba ni ule wa mdananda ulioimbwa na Msaga Sumu "Lowasa huyooo....anameremeta" na ule unaotumika kama background kwenye tangazo la Lowasa akiomba kura...