The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Huwa nikisikiliza nyimbo za wasanii mbalimbali ambazo
production ni ya Abbydad naona ni nyimbo kali sana
Binafsi nyimbo mbili hizi...Aje-Ali Kiba na Rudi- Richie Mavoko...kwangu
hazichuji kabisa
Kuna nyimbo zingine kali za huyu jamaa?
mnaweza share humu? hata ambazo hazija hit....
production ni ya Abbydad naona ni nyimbo kali sana
Binafsi nyimbo mbili hizi...Aje-Ali Kiba na Rudi- Richie Mavoko...kwangu
hazichuji kabisa
Kuna nyimbo zingine kali za huyu jamaa?
mnaweza share humu? hata ambazo hazija hit....