Uko vizuri mpendwa.Yeah naufahamu mpendwa
Nimetoka mbali hadi hapa nilipo,
Si kazi rahisi eeh, si kazi rahisi.
Nikitafakari hivi nilivyo,
Haikuwa rahisi eeh haikuwa rahisi,
Pamoja na ugumu, Mungu ulinishikilia,
nisirudi nyuma
Sikuhofu nilidumu, huku ukinishikilia,
nisikate tamaa, eeh Mungu wewe.
Wewe umekuwa ushindi wangu,
Wewe umekuwa tumaini langu,
Wewe umekuwa ushindi wangu,
Wewe wewe wewe
Ipo pia kwa kiswahili TENZI ZA ROHONI 23
yah moja ya nyimbo zangu nazozkubaliNaongeza zingine...
Kendrick Lamar - arlight
Kendrick Lamar - I....wengi wanaijua kama I love myself
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app