Hakika ni moja ya wimbo bora wa wakati wote.Jukumu letu ya ukweli sana
Hata ikipigwa sasa bado ni motoo mkuuIle ilikuwa nyimbo ya msimu chief ikipigwa sasa haina mvuto tena
Hapana hiyo ilikuwa ya Jaymoemwanafa aliimba maisha ya boarding kweli
Kwa watoto hapa wataona maluwe luwe tu.leo naomba nijaribu kuwaletea nyimbo 20 bora kabisaa za za mtoto wa mwanamuziki nguli wa zamani mzee mwinjuma aka mc mbondei
Ambazo hazitakuja kukaa kuchuja zingne ni za zamani ila kwa ubora wake zingetoka kipindi hiki zingefanya vema sana
1.ingekuwa vipi ft jaymoe
2.unanisikiliza mchumba
3.mabinti
4.wanapendana ft dully sykes
5.aminia ft ngwea and inspector haroun
6.wakati umelala ft mangustino,jos mtambo & immam abbas
7.haina ufagio
8.mtumishi ft mike T & banana zorro
9.unanitega ft pauline zongo
10.hawajui ft jay dee
11.ukinitazama ft TID
12.siku hazifanani ft zahir zorro
13.siendi club ft jay moe and unique sisters
14.bado nipo nipo
15.sitoi hela
16.mfalme ft g nako
17.kiboko yangu ft alikiba
18.verse moja ft dudubaya
19.nazeeka sasa
20.sitoamka ft jaydee
Mh! Sasa kama ni hivyo alieimba bado yupo yupo sasa hivi ameshaoa vp bado wimbo unamvuto?Ile ilikuwa nyimbo ya msimu chief ikipigwa sasa haina mvuto tena
hii ya j.mchopanga mmakonde.maisha ya boarding unaiachaje hapo