makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,129
- 80,998
Namba moja kabisa ni alikufa kwa ngoma, hiu ngoma imekamilika kwa kila kitu unachokijua ww nyimbo iitwe nyimbo nzuri..
1.alikufa kwa ngoma ft jide
2.hawajui ft jide
3. Ingekuwa vipi
4. Mabinti
5. Kiboko yangu
Hizi ngoma kuanzia mashairi na mazagazaga mengine alitulua mnooo
1.alikufa kwa ngoma ft jide
2.hawajui ft jide
3. Ingekuwa vipi
4. Mabinti
5. Kiboko yangu
Hizi ngoma kuanzia mashairi na mazagazaga mengine alitulua mnooo