Ni visichana kumbe.hana kazi wala ujira wowote.unataka akamuombe mzazi wake vocha aje akutext wewe!?JIHESHIMU
Wanaume siku hizi wamekua walalamikaji kuliko ata wanawake.wazazi sasa wasemeje wanamvisha,mlisha na kulala juu,wewe unakuja kudinya tuu hata mahali hufikirii kutoa wala kumuoa.bure yaan unakula mzigo.....utam mnapata wote yes lakn wanawake sio siku zote tunaashik ya kuliwa,Kuna mda tunafanya km wajibu ama kuwaridhisha tu ama msaada.
Fala Sana wewe kijana.