Nyie CHADEMA, ujasiri wa kumshambulia Prof.Muhongo mnautoa wapi?

Nyie CHADEMA, ujasiri wa kumshambulia Prof.Muhongo mnautoa wapi?

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,622
Reaction score
3,696
Kauli walizowahi kutoa Viongozi wa UKAWA kuhusu Lowassa 1.Atakayemuunga mkono Lowasa apimwe akili - Msigwa 2.CCM wamempa fomu kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jela, wametudharau watanzania - Lipumba. 3.Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani - Mbowe 4.Ni heshima KWA Mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa - G.Lema 5.Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) - Slaa6. Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika HAO NDIYO VIONGOZI WETU!!Hilo zigo mlilotaka kuwabebesha wananchi hamlioni?. Au ndiyo yale ya NYANI HAONI KUNDULE?
 
Umezaliwa juzi?tambua hizo ni politics!na sisi tunataka kushika dola by any means necessary.
 
Kauli walizowahi kutoa Viongozi wa UKAWA kuhusu Lowassa 1.Atakayemuunga mkono Lowasa apimwe akili - Msigwa 2.CCM wamempa fomu kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jela, wametudharau watanzania - Lipumba. 3.Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani - Mbowe 4.Ni heshima KWA Mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa - G.Lema 5.Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) - Slaa6. Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika HAO NDIYO VIONGOZI WETU!!Hilo zigo mlilotaka kuwabebesha wananchi hamlioni?. Au ndiyo yale ya NYANI HAONI KUNDULE?

Wacha kuweweseka na uoga husiyo na msingi
 
Kauli walizowahi kutoa Viongozi wa UKAWA kuhusu Lowassa 1.Atakayemuunga mkono Lowasa apimwe akili - Msigwa 2.CCM wamempa fomu kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jela, wametudharau watanzania - Lipumba. 3.Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani - Mbowe 4.Ni heshima KWA Mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa - G.Lema 5.Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) - Slaa6. Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika HAO NDIYO VIONGOZI WETU!!Hilo zigo mlilotaka kuwabebesha wananchi hamlioni?. Au ndiyo yale ya NYANI HAONI KUNDULE?

Kaka anachokisemea Mnyika unakijua lakini, ukiwa unafata habari za siasa uwe unafata fully ili upate uelewa sahihi na ukija hapa kupandisha uzi basi unakuwa umejiridhisha

Hoja iko hapa, Lowassa hakuwahi kushurutishwa na Bunge ajiudhuru, ile report ya Mwakyembe ilisomwa Bungeni bila kumshirikisha Lowassa

Kwa upande wake Muhongo alitajwa bungeni na ile Kamati ya kina Zitto, kuwa anapaswa awajibike "ajiudhuru" sasa iweje tena anarudishwa na serikalini kwenye nafasi ileile? Yale makosa yaliyomfanya ajiudhuru yameisha? Bunge limejiridhisha kuwa halikuwa msafi?

Kaka mtoa mada kuna kitu nataka kukwambia, Muhongo ni kiongozi mzuri sana na mchapakazi wa kweli kabisa, na Muhongo hakuhusika kwenye kula zile pesa za ESCROW, ile kamati ya Zitto kwa chuki zao Ninafsi huku wakiwa na backup ya Mengi na Mkono, waliamua kumchafua Muhongo baada ya kuonekana ni mwiba hatari kwenye maswala yao ya kutaka kukwapua Gas na Mafuta,

anachosimamia Mnyika ni ile Amri ya Bunge kuwa jamaa hafai, iweje leo anafaa?
 
Last edited by a moderator:
Kauli walizowahi kutoa Viongozi wa UKAWA kuhusu Lowassa 1.Atakayemuunga mkono Lowasa apimwe akili - Msigwa 2.CCM wamempa fomu kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jela, wametudharau watanzania - Lipumba. 3.Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani - Mbowe 4.Ni heshima KWA Mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa - G.Lema 5.Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) - Slaa6. Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika HAO NDIYO VIONGOZI WETU!!Hilo zigo mlilotaka kuwabebesha wananchi hamlioni?. Au ndiyo yale ya NYANI HAONI KUNDULE?

nitamini kuwa muhongo ni safi pale majina ya stanbinc bank kashfa ya escrow yatakapo kuwa unclosed vinginevo huwezi kusema ni msafi,kwanini wanayazuia kama hakuna viongozi wakubwa wa ccm humo ndani kwanini hamuyatoi ,kwanini ya mkombozi bank mliyatoa nyinyi ni wezi wa fedha za watanzania,halafu unakimbilia lowasa ni fisadi weka ushahidi hapa ? hatutaki ngonjera
 
Hii ishu Zitto ameshaimaliza suala la Muhongo limefungwa.
 
nitamini kuwa muhongo ni safi pale majina ya stanbinc bank kashfa ya escrow yatakapo kuwa unclosed vinginevo huwezi kusema ni msafi,kwanini wanayazuia kama hakuna viongozi wakubwa wa ccm humo ndani kwanini hamuyatoi ,kwanini ya mkombozi bank mliyatoa nyinyi ni wezi wa fedha za watanzania,halafu unakimbilia lowasa ni fisadi weka ushahidi hapa ? hatutaki ngonjera

Kuna kijana mmoja anafanya hiphop katika moja ya tungo zake alisema/aliuliza uwezekano wa kumpata mwanamke bikira kwenye wodi ya wazazi. Nami nauliza unawezaje kupata majina ya watu ambao hawapo? Yaani uchume embe kwenye mchungwa??!!! Jiongeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom