Nyerere hakuwahi kuwa MUNGU, wala TANU na ASP havikuwa na viongozi malaika

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,380
Shamba la Taifa limejaa Nyasi na Magugu tangu lilipo limwa na Watangulizi, nani atafanya Palizi bila Malipo?

Jinsi nisivyoikubali TANU ndivyo nisivyoikubali CCM na Viongozi wake. Ni Vyama vya MIHEMKO. ASP ilikuwa chama bora sana ila hawakutambua Misingi yake.

Tunaambiwa "Shake before Use, Angalia Mbele kabla hujavuka barabara" TANU haikuangalia Mbele, CCM imeangalia Nyuma.

KISANDULISM System.
 
Mkuu,Ulikuwepo Kipindi cha ASP au ndo Mapokeo???
Kama ulikuwepo kwa ajili gan hakuunda chama ka ASP ili ulidhishe Moyo
 
Shamba la Taifa limejaa Nyasi na Magugu tangu lilipo limwa na Watangulizi, nani atafanya Palizi bila Malipo?

Jinsi nisivyoikubali TANU ndivyo nisivyoikubali CCM na Viongozi wake. Ni Vyama vya MIHEMKO. ASP ilikuwa chama bora sana ila hawakutambua Misingi yake.

Tunaambiwa "Shake before Use, Angalia Mbele kabla hujavuka barabara" TANU haikuangalia Mbele, CCM imeangalia Nyuma.

KISANDULISM System.

Deo soma vizur historia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom