MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 602
Nadhan wote wanakumbukwa kwa namna mbalimbali isipokuwa Oscar peke yake
Point yako ni nn sasa kwamba kitendo cha kutajwa Mandela peke yake ndio sahihi?Wewe unachuki binafsi na Mwalimu RIP, Mandela anasifika Duniani pote je alifungwa peke yake? Wapo waliokufa mbona hawasemwi?
Mbufffff zako
Nyerere haheshimiwi kama mtu aliyeleta uhuru peke yake. Ila, Nyerere anaheshimiwa kwa kujali maslahi ya nchi kuunganisha makabila yote na kuwa na ideology moja kwenye mapambano ya uhuru. Wameru walienda kudai uhuru walikuwa na agenda zao kama wameru, wachagga nao walikuwa na agenda zao kama wachagga, ila Nyerere aliangalia Tanzania kama kabila moja lenye mahitaji sawaNamheshimu sana Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere, lakini kuna kitu watanzania wengi hawakijui hasa ambao hawajasoma au mwenye uelewa mdogo kuhusu historia ya nchi na siasa!
Ni kweli mwl Nyerere alikuwa na Mchango Mkubwa kwa Tanzania tuliyonayo sasa lakini shida inakuja pale hizo sifa anavopewa yeye Mwenyewe
Ikumbukwe Kabla hata nyerere hajaenda kudai uhuru kwa Malkia Elizabeth kuna watu wa Meru (kwa sasa Arumeru/Meru) walishawahi kwenda kudai uhuru kwa malkia wakakataliwa!
Kuna mtu anaitwa Bibi Titi Mohamed, kwangu mimi huyu ni Honorable Mention maana ni Mwanamke aliyepambania sana uhuru enzi zile!
Tunapomtukuza saana Mwl Nyerere tuwakumbuke na hawa wengine maana haikuwa one man army!
Talented Engineer
TheMason
Waliosifiwa sifiwa wote ndio waliowauza watu wao i.e Nyerere, Mandela....
Kila jambo lazima awepo kiunganishi,awepo mwenye uthubutu,awepo mwenye nia,awepo mwenye ujasiri wa kujitoa,mwenye malengo,hakuna jambo au kitu kinaweza kufanywa bila kiongozi kikafanikiwa na ndiyo maana kama hawapo wanachaguliwa,kwa hiyo sifa hizo alikuwa nazo Baba wa Taifa,inawezakana walikuwepo wengi kama kiongozi lakini uongozi wake ukaongeza chachu ya uhuru hasa kwa kujua hitaji(uhuru) zaidi la Watanganyika na kuwa na ujasiri wa kuliwasilisha kwa Wakoloni.Lakini kwa akili ya Nyerere hasa kwa tuliopata bahati ya kumshuhudia au kupitia clip ile akili yake ilikuwa balaa na ya upekee.Namheshimu sana Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere, lakini kuna kitu watanzania wengi hawakijui hasa ambao hawajasoma au mwenye uelewa mdogo kuhusu historia ya nchi na siasa!
Ni kweli mwl Nyerere alikuwa na Mchango Mkubwa kwa Tanzania tuliyonayo sasa lakini shida inakuja pale hizo sifa anavopewa yeye Mwenyewe
Ikumbukwe Kabla hata nyerere hajaenda kudai uhuru kwa Malkia Elizabeth kuna watu wa Meru (kwa sasa Arumeru/Meru) walishawahi kwenda kudai uhuru kwa malkia wakakataliwa!
Kuna mtu anaitwa Bibi Titi Mohamed, kwangu mimi huyu ni Honorable Mention maana ni Mwanamke aliyepambania sana uhuru enzi zile!
Tunapomtukuza saana Mwl Nyerere tuwakumbuke na hawa wengine maana haikuwa one man army!
Talented Engineer
TheMason
Wapo na wakina Oscar kambonaKiongozi hakuna mtu alokukataza kumtukuza Titi kama mpigania uhuru Nafikiri kesi ya uhaini ya mwaka 1969 ndiyo ilimpoteza japo alikuja pata msamaha baadae.Lakini bado haikuzuii kumtukuza ukipenda.
Kama wew sio mwoga weka jina lako kamili hapa na mahali unapopatikana ikiwezekana na picha...Nyerere ni Mpuuzi mmoja ambaye alikuwa muoga sana.
Well noted mkuu...sauzi wameshtuka saa hizi !Tena mandela ndo kaiuza nchi yake mchana kweupee mpaka wazungu wakampa tuzo.. bora nyerere aliuza kiujanja ujanja!..walimpa uhuru kisha wakampa sharti awaandalie viongozi puppets!! Kabila, museven, kagame etc etc... mugabe atabaki rais pekee mzalendo amegoma kbs kuuza nchi maisha yake yote mpaka mpaka pale akili yake ilipogoma kufanya kazi sawasawa bado alikua haamini kbs mtu mwingine
hicho mnacho lazimisha kilamtu aamini kile ambacho amini nyinyi ndio hapo panaleta shida wewe waona nisawa kumuita baba namama yupo wapi? nisawa imani yako inakufundisha hata viongozi wako wadini kuita hivyo usilazimishe nakwangu pia hata mwanangu amwite baba hovyooGeorge Washington anaitwa Baba na wamarekani wewe huna sababu nyingine zaidi ya kiimani.
Watu wengi wanapomsema Nyerere, huwa wanawakilisha wahenga wote.
Mathalani mtu anaimba wimbo unaohitaji "economy of words", anaimba.
"Naye Baba Nyerere ndiye wetu muhifadhi. Naye ndiye aliyeleta uhuru. Tanzania yetu ndiyo nchi ya Furaha".
Hapo ni wazi Nyerere anawakilisha wazee wengi sana waliopigania Uhuru.
Lakini kama mtu ana roho ya ushindani atasema mbona Sykes hajatajwa? Wengine watasema mboma Chifu Kidaha Makwaia hajatajwa?
Mkuu hiyo ni kawaida wala isikubabaisha,kwa kawaida katika maswala ya uongozi anayesifiwa ni kiongozi,na sio watendaji.Namheshimu sana Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere, lakini kuna kitu watanzania wengi hawakijui hasa ambao hawajasoma au mwenye uelewa mdogo kuhusu historia ya nchi na siasa!
Ni kweli mwl Nyerere alikuwa na Mchango Mkubwa kwa Tanzania tuliyonayo sasa lakini shida inakuja pale hizo sifa anavopewa yeye Mwenyewe
Ikumbukwe Kabla hata nyerere hajaenda kudai uhuru kwa Malkia Elizabeth kuna watu wa Meru (kwa sasa Arumeru/Meru) walishawahi kwenda kudai uhuru kwa malkia wakakataliwa!
Kuna mtu anaitwa Bibi Titi Mohamed, kwangu mimi huyu ni Honorable Mention maana ni Mwanamke aliyepambania sana uhuru enzi zile!
Tunapomtukuza saana Mwl Nyerere tuwakumbuke na hawa wengine maana haikuwa one man army!
Talented Engineer
TheMason