jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
"...Kama mtu akikufanyia jambo la kijinga, ukajua kakufanyia jambo la kijinga, naye akajua amekufanyia jambo la kijinga ukakaa kimya, atakaudharau....BY JK
Refer,
Jinsi CCM wanavyotufanyia ufisadi wanajimikisha nchi na kutufanya mazuzu kwa sababu tumekaa kimya.
sasa wemefikia mahali viongozi wa chama ndio wanakagua miradi ya maendeleo na kuwachimba mkwara watumishi wa umma
Swali, Je kazi za mawazi husika ni zipi sasa kama akina KINANA wamekua mawazi na mawziri wakuu.
uzuzu huu jamani watanzania.
mmmmmmmmh
Refer,
Jinsi CCM wanavyotufanyia ufisadi wanajimikisha nchi na kutufanya mazuzu kwa sababu tumekaa kimya.
sasa wemefikia mahali viongozi wa chama ndio wanakagua miradi ya maendeleo na kuwachimba mkwara watumishi wa umma
Swali, Je kazi za mawazi husika ni zipi sasa kama akina KINANA wamekua mawazi na mawziri wakuu.
uzuzu huu jamani watanzania.
mmmmmmmmh