Kuwaza kwako rafiki yangu ni kufupi sana. You run into conclusions. Kufikia conclusion kwamba Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa kuwa alimwachia Kawawa uwaziri Mkuu badala ya kina Kambona kama ungekuwa mwanafunzi wangu wa political science ningekupa 8% ya upendeleo.
Je unasahau Nyerere, japo ya kuwa raisi kwa mika 23, alikuwa raisi mojawapo wa kwanza Africa kuachia madaraka kwa hiari? Na kumbuka alitaka kuachia mapema, lakini akasema basi ngoja angalau nisaidie kurekebisha makali ya vita ya Kagera. Angalia kwamba kina Museveni waliokuja baada ya Nyerere wamekuwa maraisi muda mrufu zaidi ya Nyerere!
Angalia kina Puttin wamerudi tena kwenye uraisi!
Nyerere alikjua nini kifanyike baada ya uhuru ili kuwafaidisha watanzania wote, vijijini na mijini, ki-elimu, afya na umasikini. akawa na mtazamo wa kisiasa wenye kupambana na haya mambo matatu; ujinga (elimu kwa wote), maradhi (huduma ya afya kwa wote) na umasikini (umiliki wa umma wa uchumi).
Kina Kambona walikuwa na mtazamo tofauti, walitaka tufuate sera za kibepali (capitalism). Nyerere akawa ana argue kwamba capitalism itazua tabaka la watanzania masikini sana na wachache matajiri sana - watwana na mabwana. Akasema mkiwinda mnyama kijijini, ni vema mwanakijiji apewe mgawo sawa, hata kama hakuhusika moja kwa moja kuwinda kwa kuwa alikuwa na kazi nyingine kijijini. (Kenyatta alisema hapana, waindaji wanapaswa kupata maini, na kama hukuwapo uambulie kitakachobaki baada ya wawindaji kuchukua sehemu nzuri nzuri!)
Sasa niambie, ungekuwa wewe ndio Nyerere, katika mazingira hayo, ungewaachia nchi kina Kambona ambao ukijua wazi mna mitazamo tofauti katika uongozi wa nchi? Nyerere alichofanya ni tamaa ya madaraka au rational thinking?
Unafikiri nini kingetokea iwapo angewaachia kina Kambona? Angefanya hivyo nadhani leo hii tungekuwa na historia inayosema Nyerere ailikufa kifungoni mwaka 1961, na wengi wetu lecture halls za UDSM tungekuwa tunazisikia redioni tu. Huenda baba yako hata darasa la saba asingefika!
Mwenyeheri, DIKTETA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa la Tanzania
Mwenyeheri, DIKTETA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa la Tanzania
[/QU umechemka sana toa hoja
Kwan hiyo sio hoja kwan sio mwenyeheri anaetaka kufanywa mtakatifu? Kwan hakuwa dikteta? Sio mwalimu sio ''baba'' wa Taifa? cha kushangaza kardinal Rugambwa hajatangazwa mwenyeheri Nyerere dikteta eti mwenye heri, no wonder RC wanamiliki ardhi kubwa ikitoka serikal... zidumu fikra za mwenyekiti
we nawe bwabwaee.nenda mombasa kama tz hufaidiki
Kuwaza kwako rafiki yangu ni kufupi sana. You run into conclusions. Kufikia conclusion kwamba Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa kuwa alimwachia Kawawa uwaziri Mkuu badala ya kina Kambona kama ungekuwa mwanafunzi wangu wa political science ningekupa 8% ya upendeleo.
Je unasahau Nyerere, japo ya kuwa raisi kwa mika 23, alikuwa raisi mojawapo wa kwanza Africa kuachia madaraka kwa hiari? Na kumbuka alitaka kuachia mapema, lakini akasema basi ngoja angalau nisaidie kurekebisha makali ya vita ya Kagera. Angalia kwamba kina Museveni waliokuja baada ya Nyerere wamekuwa maraisi muda mrufu zaidi ya Nyerere!
Angalia kina Puttin wamerudi tena kwenye uraisi!
Nyerere alikjua nini kifanyike baada ya uhuru ili kuwafaidisha watanzania wote, vijijini na mijini, ki-elimu, afya na umasikini. akawa na mtazamo wa kisiasa wenye kupambana na haya mambo matatu; ujinga (elimu kwa wote), maradhi (huduma ya afya kwa wote) na umasikini (umiliki wa umma wa uchumi).
Kina Kambona walikuwa na mtazamo tofauti, walitaka tufuate sera za kibepali (capitalism). Nyerere akawa ana argue kwamba capitalism itazua tabaka la watanzania masikini sana na wachache matajiri sana - watwana na mabwana. Akasema mkiwinda mnyama kijijini, ni vema mwanakijiji apewe mgawo sawa, hata kama hakuhusika moja kwa moja kuwinda kwa kuwa alikuwa na kazi nyingine kijijini. (Kenyatta alisema hapana, waindaji wanapaswa kupata maini, na kama hukuwapo uambulie kitakachobaki baada ya wawindaji kuchukua sehemu nzuri nzuri!)
Sasa niambie, ungekuwa wewe ndio Nyerere, katika mazingira hayo, ungewaachia nchi kina Kambona ambao ukijua wazi mna mitazamo tofauti katika uongozi wa nchi? Nyerere alichofanya ni tamaa ya madaraka au rational thinking?
Unafikiri nini kingetokea iwapo angewaachia kina Kambona? Angefanya hivyo nadhani leo hii tungekuwa na historia inayosema Nyerere ailikufa kifungoni mwaka 1961, na wengi wetu lecture halls za UDSM tungekuwa tunazisikia redioni tu. Huenda baba yako hata darasa la saba asingefika!
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi
Kwan hiyo sio hoja kwan sio mwenyeheri anaetaka kufanywa mtakatifu? Kwan hakuwa dikteta? Sio mwalimu sio ''baba'' wa Taifa? cha kushangaza kardinal Rugambwa hajatangazwa mwenyeheri Nyerere dikteta eti mwenye heri, no wonder RC wanamiliki ardhi kubwa ikitoka serikal... zidumu fikra za mwenyekiti
kwani ni nyerere mwenyewe ndio alitaka kuitwa mtakatifu au mwenye heri au watu wengine ndio walioamua kumuita hivyo? yeye hana kosa lolote. na kumuita dikteta mwal sio mbaya kwani si kila dikteta ni mbaya, hata wewe wanao wanaweza kukuita dikteta ikiwa unawalazimisha kufanya yale unayoyaamini kuwa ni sahihi. na udikteta wake kwangu mimi sioni kuwa ulikuwa ni mbaya tena bado tunauhitaji kuliko sasa tuishivyo kila mtu ana madevu.
Jibu hoja acha viroja! Ka wewe bwabwa unafkiri kila mtu bwabwa? Kwa utawala wa huyo dikteta Watz wanaofaidika ni wachache sana wengine tunastruggle kimpango wetu au wewe kasisi nini? Afu wewe na huyo Nyerere hamna uwezo wa kunihamisha Tanzania mlivyowahamisha babu zangu eti kuwapeleka kwenye vijiji vya kijamaa inatosha Mungu amuweke Dikteta Nyerere panapostahili
Heri tamaa ya Madaraka kuliko Ufisadi na uasherati kama hao unaowajua wewe
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,1.hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa. 2
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu, 3
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia 4
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi 5
hoja hapa ni kuogopa wenye uwezo wa kuongoza kuWAWEKA KARIBU
Jibu hoja acha viroja! Ka wewe bwabwa unafkiri kila mtu bwabwa? Kwa utawala wa huyo dikteta Watz wanaofaidika ni wachache sana wengine tunastruggle kimpango wetu au wewe kasisi nini? Afu wewe na huyo Nyerere hamna uwezo wa kunihamisha Tanzania mlivyowahamisha babu zangu eti kuwapeleka kwenye vijiji vya kijamaa inatosha Mungu amuweke Dikteta Nyerere panapostahili
Asante sana kwa kumueleza vizuri.
Asante sana kwa kumueleza vizuri.
mkuu huku jf watu wengi wanamtukuza nyerere kupindukia, hawawezi kukuelewa.
Nyerere ndio alomaliza uchumi wa nchi yetu kwa sera zake mbovu,
ndie alielea matatizo mengi kama ya udini na muungano kwa kuwanyima wananchi uhuru wa kusema.
Wanaomtetea watuambie kilicho mkimbiza mzee mtei serekalini kama sio madudu ya nyerere.
Chakushangaza leo anataka kupewa utakatifu.
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi
kwahiyo NYERERE bila Kawawa asinge fanikiwa malengo kwani Kawawa alikua ndio mwenyekiti na mwanzilishi wa Chama cha wafanyakazi TANGANYIKA na alikua haogopi Wazungu na alikua ana ushawishi mkubwa kwa wafanyakazi kama alivyokua CHILUBA..ZAMBIA...sasa mtu waaina hiyo usipo mshaka kalibu akiasi ana wafuasi wengi hilo ndio nyerere aliliona na akawa makini sana juu ya hilo ...kwahiyo Nyerere aliishi kwa kukumbuka wapi alikotokea..NYERERE