Nyegezi iko Wilaya gani Mwanza?

Nyegezi iko Wilaya gani Mwanza?

almashauri kwa sasa inajengwa maeneo ya mkolani, lkn bado ipo mkwenye jengo la jiji la mwanza mpaka apo jengo lao litakapokamilika apo mkolani.
 
almashauri kwa sasa inajengwa maeneo ya mkolani, lkn bado ipo mkwenye jengo la jiji la mwanza mpaka apo jengo lao litakapokamilika apo mkolani.

Asante mkuu
 
almashauri kwa sasa inajengwa maeneo ya mkolani, lkn bado ipo mkwenye jengo la jiji la mwanza mpaka apo jengo lao litakapokamilika apo mkolani.

almashauri = halmashauri

Mpaka apo = Mpaka hapo
 
Iko nyamagana, nadhani hata Buhongwa ni nyamagana though am not sure na mgawanyo Wa hizi wilaya mipaka yake ilivyo

Mpaka ni mto Mirongo ukivuka kwenda Clinic kuelekea Nera... huko kote ni Ilemela, Mto mirongo kuja mjini na city centre yote ni Nyamagana mpaka kuja huku njia ya Shinyanga alafu kama unakwenda njia ya Musoma (Nyerere road) mpaka ni hiyo barabara yaani upande wa kushoto kama unaelekea Musoma ni Ilemela na upande wa kulia ni Nyamagana though kuanzia hapo Mabatini mpaka Nyakato National hata mie bado pananizingua kiaina (ila kwa kuanzia tumia mto Mirongo na hiyo barabara ya Nyerere though nadhani Mabatini yote itakuwa Nyamagana
 
Mkuu sio kwamba cjui napungza wingi wa maneno

Inaelekea key pad zako ngumu sana mpaka unaona ugumu kumalizia maneno yote (jokes but jizoeze kuandika sentesi kamili kasoro baadhi ya maneno ambayo vifupisho vyake vinakubalika
 
Mpaka ni mto Mirongo ukivuka kwenda Clinic kuelekea Nera... huko kote ni Ilemela, Mto mirongo kuja mjini na city centre yote ni Nyamagana mpaka kuja huku njia ya Shinyanga alafu kama unakwenda njia ya Musoma (Nyerere road) mpaka ni hiyo barabara yaani upande wa kushoto kama unaelekea Musoma ni Ilemela na upande wa kulia ni Nyamagana though kuanzia hapo Mabatini mpaka Nyakato National hata mie bado pananizingua kiaina (ila kwa kuanzia tumia mto Mirongo na hiyo barabara ya Nyerere though nadhani Mabatini yote itakuwa Nyamagana

Duh, kweli ni mkanganyiko, nyamhongolo ni Ilemela hlf eti kigoma ni nyamagana, hii mipaka wabaki nayo wagombea udiwani tu kwakweli manake huwa sielewi
 
Back
Top Bottom