Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Hivi wadada tutawajuaje kama mna nyege ,ila hili neno nyege pia naona silifahamu vyema,kuna mtu aweza lielezea kwa ufasaha.
Sababu ya kuuliza hivyo ni leo nilikutana na wadada kwenye kasherehe flani ,kuna wadada nikakaribisha vinywaji japo siwajui ,mmoja wao akaniuliza ..una nyege nini?
Mwengine akadakia tena nyege mshindo.
Nikasepa kivyanguvyangu maana nilishindwa kuwaelewa ,basi nikawa na dukuduku hadi hapa JF ndio nalitoa ili kupata maelezo ni urafiki ni mapenzi ni mapendo sikuwaelewa
Sababu ya kuuliza hivyo ni leo nilikutana na wadada kwenye kasherehe flani ,kuna wadada nikakaribisha vinywaji japo siwajui ,mmoja wao akaniuliza ..una nyege nini?
Mwengine akadakia tena nyege mshindo.
Nikasepa kivyanguvyangu maana nilishindwa kuwaelewa ,basi nikawa na dukuduku hadi hapa JF ndio nalitoa ili kupata maelezo ni urafiki ni mapenzi ni mapendo sikuwaelewa