WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Chondechonde huyo Nyati apelekwe haraka Ngorongoro akawalinde wale nyati waliobaki wanne wa JK.
mkuu ngorongoro mbona nyati wako wengi tuu!kama unazungumzia faru bado ni zaidi ya hiyo namba
Chondechonde huyo Nyati apelekwe haraka Ngorongoro akawalinde wale nyati waliobaki wanne wa JK.
mkuu ngorongoro mbona nyati wako wengi tuu!kama unazungumzia faru bado ni zaidi ya hiyo namba
hivi wale faru wa JK wanatofauti gani na hawa faru wetu tulionao hapa tanzania?
wewe utambebaje nyati aliechanganyikiwa hicho si kifo man kwanza utaanza anzaje
sasa angewezaje kumbeba nyati mzima peke yake hapo unaweza kukuta alikua na kundi la zaidi ya watu 70 wa kumsaidia kubeba hiyo nyama
mayanza hii sasa mmevuka mipaka,hata jangili ambalo linateketeza maliasili za nchi nae mnataka kusema ni rais jk amesababisha hayo?fanyeni heshima kidogo kwa rais wa nchi,huu uhuru wakuongea usivuke mipaka.Hard life with fake promise from JK, me nafikiri huyo marehemu alikuwa na hamu na kitoweo na hakuwa na jinsi na akiangalia bei ya nyama buchani haikamatiki. Ikabidi ajitose ndani ya mbuga mpaka mauti yalipomkuta.RIP marehemu poleni ndugu wa marehemu
Source ya haya yote ni JK
Wale wa Ngorongoro ni nyati au faru?Chondechonde huyo Nyati apelekwe haraka Ngorongoro akawalinde wale nyati waliobaki wanne wa JK.
Wale wa Ngorongoro ni nyati au faru?
Hawa majangili kuna kitu kinaitwa roda, inawezekana nyati alishanasa kwenye roda kwa hyo marehemu akaona kazi imeisha ila nyati wananguvu sana akikuotea anakufa na wewe, huwa wanamtoboa macho kwa spoko.
This is funny. Ebu niambie unaanzaje kutoboa macho ya nyati na spoko? Utakuwa umesimama wapi?
Me mwenyewe nashangaa!This is funny. Ebu niambie unaanzaje kutoboa macho ya nyati na spoko? Utakuwa umesimama wapi?
This is funny. Ebu niambie unaanzaje kutoboa macho ya nyati na spoko? Utakuwa umesimama wapi?