kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Du wajina ana hasira sana yaani kama ni kweli inadhihirisha ile methali ya wahenga kuwa akuanzae mmalize
Na wewe una hasira kama wajina wako?
Ila tukiangalia vizuri tutaona kuwa hawa wawindaji haramu wanajitakia hatari wenyewe.Alikuwa amejiamini sana kwenda kuwinda mahali ambapo haruhusiwi . Watu waache kabisa kuvunja sheria makusudi tena waziwazi.
kwanini hakumchapa risasi nyingine alipoona nyati ana hasira au kwanini asingepanda kwenye mti!
ndo dawa yao hao poachers ,nadhani hali kama hii ndo inaelekea kumpata mkwere ,na yeye tutamrukia na kumvunjavunja mbavu hadi aelewe kuwa dhama hizi hatuhitaji poachers c wa wanyama wa mwituni bali pia sisi binadamu ambao ni highest rank in the group of animals,big up to that buffalo and to me that is cdm.
Kweli sasa nimeamini watu hawamhitaji JK maana hapa imeletwa topic ya jangili na nyati lakini na mkwere kaingizwa kidogo na mchangiaji
Kweli sasa nimeamini watu hawamhitaji JK maana hapa imeletwa topic ya jangili na nyati lakini na mkwere kaingizwa kidogo na mchangiaji
Hard life with fake promise from JK, me nafikiri huyo marehemu alikuwa na hamu na kitoweo na hakuwa na jinsi na akiangalia bei ya nyama buchani haikamatiki. Ikabidi ajitose ndani ya mbuga mpaka mauti yalipomkuta.RIP marehemu poleni ndugu wa marehemu
Source ya haya yote ni JK
Na wewe una hasira kama wajina wako?
Ila tukiangalia vizuri tutaona kuwa hawa wawindaji haramu wanajitakia hatari wenyewe.Alikuwa amejiamini sana kwenda kuwinda mahali ambapo haruhusiwi . Watu waache kabisa kuvunja sheria makusudi tena waziwazi.
Mkuu unajua Gobore ukishapiga risasi inachukua muda kuweka risasi nyingine na kukoki risasi muda wote huo Nyati hakupi nafasi ya kummaliza.Pia magobore ya aiana nyingine hayakutengenezwa kwaajili ya kuua mnyama mkubwa kama Nyati sana sana yanamjeruhi tu na kumuongezea hasira.Mara nyingi wawindaji wa aina ya marehemu wanaingia porini kuwinda wanyama wadogo wadogo kwaajili ya kitowewo unajua tena maisha siku hizi yamepanda haswa nyama ya mbuzi au kuku haishikiki.
Du wajina ana hasira sana yaani kama ni kweli inadhihirisha ile methali ya wahenga kuwa akuanzae mmalize
Hawa majangili kuna kitu kinaitwa roda, inawezekana nyati alishanasa kwenye roda kwa hyo marehemu akaona kazi imeisha ila nyati wananguvu sana akikuotea anakufa na wewe, huwa wanamtoboa macho kwa spoko.
Chondechonde huyo Nyati apelekwe haraka Ngorongoro akawalinde wale nyati waliobaki wanne wa JK.