Nyama ya sungura

fluid

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
363
Reaction score
236
Msaada, Wapi naweza kununua nyama ya sungura jijini dar es salaam?
 
Mimi ninao wanne nauza Mmoja Tshs 50,000 sema unaweza kupatikana wapi nikuletee hata kesho kama uko Dar kama unataka maelezo zaidi unaweza kutuma PM. Karibu

Msaada, Wapi naweza kununua nyama ya sungura jijini dar es salaam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…