Habari.
Mimi ni mfugaji wa nyama yetu pendwa Duniani.. ya Kitimoto Tukufu
Nauza kwa bei ya jumla kuanzia kg 10
Kilo moja ni Tsh 11,000 Tu.
Nafanya delivery pia. Kwa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani tu.
Nyama inaviwango vikubwa vya ubora fresh kutoka Shamba.