Nyalandu aendeleza moto

Sijui, labla ni mawazo yangu tu. Lakini naona kama kuna siku Nyalandu atajitoa Chadema au hata kurudi CCM tena kama walivyofanya Lowassa na Masha.
 
Sijui, labla ni mawazo yangu tu. Lakini naona kama kuna siku Nyalandu atajitoa Chadema au hata kurudi CCM tena kama walivyofanya Lowassa na Masha.
Huo ndio ukweli mkuu ni suala la muda tu
 
Sijui, labla ni mawazo yangu tu. Lakini naona kama kuna siku Nyalandu atajitoa Chadema au hata kurudi CCM tena kama walivyofanya Lowassa na Masha.
Huyo ana hasira za mkizi. Kakosa nafasi ya uwaziri. Watu wake wa vitalu vya uwindaji wamepigwa chini. Ndio maana unaona anafanya harakati za hasira na aio za mahaba. Kina lema na kina sugu wenyewe walishaachana na harakati hizo. Kina mnyika wote hata hawatoi matamko. Huyo joto likishuka atapoa na kurudi ccm akisema chadema kila mtu ni kambale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…