Nyakati zinabadilika: AS Vita na Mazembe hawapo mashindano ya CAF

Nyakati zinabadilika: AS Vita na Mazembe hawapo mashindano ya CAF

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,913
Reaction score
133,926
Klabu kubwa Afrika Tp Mazembe na As Vital Club 🇨🇩 hazijakidhi kufuzu mashindano ya kimataifa msimu huu.

Timu zilizofuzu nchini Congo

✅ Ligi ya Mabingwa Afrika:
•Eagle du Congo (Bingwa wa Ligi) 🏆
•Saint Eloy Lupopo (nafasi ya pili)⚡️

✅ Kombe la Shirikisho:
•Union Maniema (nafasi ya 3)
•AS Simba (Bingwa wa Kombe la Rais) 🏅
 
Kuna timu kutoka Kizimkazi imekuwa inajisifu kuifunga TP Mazembe. Tuliposema msijisifu sana kufunga timu iliyojichokea tukatukanwa.

Hebu tuwe wakweli. Ile TP Mazembe iliyokuwa inamfunga Simba, hadi ikacheza fainali ya Kombe la Mabara la Vilabu dhidi ya Inter Milan, iko sawa na ile ya akina Kizumbi iliyofungwa na Uto?
 
Kuna timu kutoka Kizimkazi imekuwa inajisifu kuifunga TP Mazembe. Tuliposema msijisifu sana kufunga timu iliyojichokea tukatukanwa.

Hebu tuwe wakweli. Ile TP Mazembe iliyokuwa inamfunga Simba, hadi ikacheza fainali ya Kombe la Mabara la Vilabu dhidi ya Inter Milan, iko sawa na ile ya akina Kizumbi iliyofungwa na Uto?
Wewe mbona umefungwa mara 5 mfululizo au na wewe mbovu kama mazembe?
 
Klabu kubwa Afrika Tp Mazembe na As Vital Club 🇨🇩 hazijakidhi kufuzu mashindano ya kimataifa msimu huu.

Timu zilizofuzu nchini Congo

✅ Ligi ya Mabingwa Afrika:
•Eagle du Congo (Bingwa wa Ligi) 🏆
•Saint Eloy Lupopo (nafasi ya pili)⚡️

✅ Kombe la Shirikisho:
•Union Maniema (nafasi ya 3)
•AS Simba (Bingwa wa Kombe la Rais) 🏅
Sema mazembe alinyanganywa point 9 kitu kama hicho ,anae ongoza anapoint 35 ,mazembe anapoint 30
 
Kuna timu kutoka Kizimkazi imekuwa inajisifu kuifunga TP Mazembe. Tuliposema msijisifu sana kufunga timu iliyojichokea tukatukanwa.

Hebu tuwe wakweli. Ile TP Mazembe iliyokuwa inamfunga Simba, hadi ikacheza fainali ya Kombe la Mabara la Vilabu dhidi ya Inter Milan, iko sawa na ile ya akina Kizumbi iliyofungwa na Uto?
Mnazidi kujitoa akili mbumbumbu.
 
Hapo sawa.
Lakini hiyo simba mbovu imefika fainali ya cafcc ambayo yanga ilifika ikiwa na kikosi bora, yani simba na ubovu wake wote haijawahi kuishia makundi kimataifa kwenye misimu ya hivi karibuni, msimu juzi simba mbovu iliishia robo fainali cafcl kama tu yanga iliyokuwa bora, yani kwa kifupi mahali ambapo yanga inafika ikiwa bora simba ina uwezo wa kufika ikiwa mbovu, kama hapo mlipo mnajiona bora halafu kimataifa mnaishia makundi basi siku mkirudi kuwa wabovu tu kwisha habari yenu
 
Lakini hiyo simba mbovu imefika fainali ya cafcc ambayo yanga ilifika ikiwa na kikosi bora, yani simba na ubovu wake wote haijawahi kuishia makundi kimataifa kwenye misimu ya hivi karibuni, msimu juzi simba mbovu iliishia robo fainali cafcl kama tu yanga iliyokuwa bora, yani kwa kifupi mahali ambapo yanga inafika ikiwa bora simba ina uwezo wa kufika ikiwa mbovu, kama hapo mlipo mnajiona bora halafu kimataifa mnaishia makundi basi siku mkirudi kuwa wabovu tu kwisha habari yenu
Umemaliza kila kitu Mkuu.
 
Lakini hiyo simba mbovu imefika fainali ya cafcc ambayo yanga ilifika ikiwa na kikosi bora, yani simba na ubovu wake wote haijawahi kuishia makundi kimataifa kwenye misimu ya hivi karibuni, msimu juzi simba mbovu iliishia robo fainali cafcl kama tu yanga iliyokuwa bora, yani kwa kifupi mahali ambapo yanga inafika ikiwa bora simba ina uwezo wa kufika ikiwa mbovu, kama hapo mlipo mnajiona bora halafu kimataifa mnaishia makundi basi siku mkirudi kuwa wabovu tu kwisha habari yenu
Gazeti refu la ufafanuzi, swali limeulizwa dogo tu Simba kufungwa mara tano mfululizo je nayo ni mbovu? Kufika fainali ni wazi uliyocheza nao hawakuwa na quality inayofanana na Yanga na ndio maana ukikutana na quality iliyokuzidi hauna uwezo wa kushinda. Short and clear
 
msimu juzi simba mbovu iliishia robo fainali cafcl kama tu yanga iliyokuwa bora, yani kwa kifupi mahali ambapo yanga inafika ikiwa bora simba ina uwezo wa kufika ikiwa mbovu, kama hapo mlipo mnajiona bora halafu kimataifa mnaishia makundi basi siku mkirudi kuwa wabovu tu kwisha habari yenu

Msimu juzi huo huo mbona umeacha kuzungumzia kuishia robo fainali kwa Yanga kwa dhuruma kwa ukataliwa goli?

Umecheza na Al Ahly ambayo kakufunga ndani nje kwa kipigo cha mbwa mwizi (3:0 aggregate) wakati Yanga ilitoka nao sare kwa Mkapa na kufungwa goli moja pekee Misri. Hakuna timu yeyote iliyoweza kupata goli kwa Al Ahly katika mashindano ya msimu huo zaidi ya Yanga pekee. Haya endelea kulinganisha
 
Gazeti refu la ufafanuzi, swali limeulizwa dogo tu Simba kufungwa mara tano mfululizo je nayo ni mbovu? Kufika fainali ni wazi uliyocheza nao hawakuwa na quality inayofanana na Yanga na ndio maana ukikutana na quality iliyokuzidi hauna uwezo wa kushinda. Short and clear
Sasa kwanini unalazimisha kuuliza hilo swali katika angle moja tu ubora au ubovu wa timu unapimwa kwa vigezo vingi siyo mihemko yenu tu, eti tumekutana na timu ambazo hazina quality ya yanga sasa unataka kufananisha uchezaji wa kina stellenbosch na uchezaji wenu haya tuseme na ninyi tabora waliwazidi quality, ninyi ni wakamiaji tu ndio maana kimataifa mnaishia hatua za awali na hata kwenye ligi mkikutana na baadhi ya timu ndogo mnapigwa
 
Sasa kwanini unalazimisha kuuliza hilo swali katika angle moja tu ubora au ubovu wa timu unapimwa kwa vigezo vingi siyo mihemko yenu tu, eti tumekutana na timu ambazo hazina quality ya yanga sasa unataka kufananisha uchezaji wa kina stellenbosch na uchezaji wenu haya tuseme na ninyi tabora waliwazidi quality, ninyi ni wakamiaji tu ndio maana kimataifa mnaishia hatua za awali na hata kwenye ligi mkikutana na baadhi ya timu ndogo mnapigwa
Hatua ya awali?
Kati ya Simba na Yanga ni timu imeanza kucheza fainali ya CAFCC? kama kukamia ni jambo jepesi hivyo katika kushinda mechi, ni nani aliyewazuia kukamia mechi ili mshinde dhidi ya Yanga?
Umefungwa goli 2 kavu kwenye mechi muhimu ambayo ukishinda tu unakuwa bingwa na NBC lakini umeshindwa hata kupata sare mbele ya Yanga.
Kubali umefungwa na Yanga kwavile kakuzidi ubora, umetoa mfano wa Tabora, ni kweli Tabora alimfunga Yanga, ila hakuweza kumfunga Yanga mfululizo, maanake alibahatisha. Ila wewe kufungwa mara tano mfululizo sio kwamba ni bahati nasibu bali uwezo hauna.
 
Msimu juzi huo huo mbona umeacha kuzungumzia kuishia robo fainali kwa Yanga kwa dhuruma kwa ukataliwa goli?

Umecheza na Al Ahly ambayo kakufunga ndani nje kwa kipigo cha mbwa mwizi (3:0 aggregate) wakati Yanga ilitoka nao sare kwa Mkapa na kufungwa goli moja pekee Misri. Hakuna timu yeyote iliyoweza kupata goli kwa Al Ahly katika mashindano ya msimu huo zaidi ya Yanga pekee. Haya endelea kulinganisha
Sasa si ndio mmesema simba ni wabovu na ninyi ni bora ila bado wote wakaishia robo fainali, lile goli hamkudhulumiwa bali halikuwa halali yani mpaki basi mechi zote mbili halafu mtegemee kagoli ka kuotea na mlishindwa nini kuwatoa kwenye matuta, haya vipi na msimu ulioisha na ubora wenu wote mbona mkaishia hatua ya makundi tena kwenye kundi jepesi kuliko yote
 
Msimu juzi huo huo mbona umeacha kuzungumzia kuishia robo fainali kwa Yanga kwa dhuruma kwa ukataliwa goli?

Umecheza na Al Ahly ambayo kakufunga ndani nje kwa kipigo cha mbwa mwizi (3:0 aggregate) wakati Yanga ilitoka nao sare kwa Mkapa na kufungwa goli moja pekee Misri. Hakuna timu yeyote iliyoweza kupata goli kwa Al Ahly katika mashindano ya msimu huo zaidi ya Yanga pekee. Haya endelea kulinganisha
Kama kipimo ni Al Ahly kwenye mashindano ya AFL ilitoka sare na Simba nyumbani (2-2) na ugenini (1-1), tena sare za kufungana. Je Simba ni bora kuliko Yanga?
 
Back
Top Bottom