Nusu Fainali ni Simba vs Stellenbosch

Nusu Fainali ni Simba vs Stellenbosch

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Semi-final: Simba vs Stellenbosch

Zamalek wameikimbia Simba.

Nilishawahi kusema Stellenbosch ni timu ngumu sana, maandalizi yaanze. Pia Fadlu aangaliwe vizuri asije akaleta mambo ya familia.

Simba kuanza tena ugenini na kumalizia nyumbani. Hii advantage tusiichezee tena.
 
Semi-final: Simba vs Stellenbosch

Zamalek wameikimbia Simba.

Nilishawahi kusema Stellenbosch ni timu ngumu sana, maandalizi yaanze. Pia Fadlu aangaliwe vizuri asije akaleta mambo ya familia.

Simba kuanza tena ugenini na kumalizia nyumbani. Hii advantage tusiichezee tena.
Naona kama simba amerahisiahiwa sana kazi ya kwenda final. Ashindwe mwenyewe tuu.

Sema jamaa wanajua kulinda huko nyuma dah
 
Naona kama simba amerahisiahiwa sana kazi ya kwenda final. Ashindwe mwenyewe tuu.

Sema jamaa wanajua kulinda huko nyuma dah
Hakuna urahisi hapo, wana timu nzuri. Zamalek kashindwa kupata hata goli moja kwa dakika 180.

Wakati mwingine ni afadhali ucheze na giant unakuwa makini zaidi. Nilikuwa nawatamani Zamalek ila waarabu wana usng mwingi, badala ya kucheza mpira wanalalalala tu maae zao.
 
Hakuna urahisi hapo, wana timu nzuri. Zamalek kashindwa kupata hata goli moja kwa dakika 180.

Wakati mwingine ni afadhali ucheze na giant unakuwa makini zaidi. Nilikuwa nawatamani Zamalek ila waarabu wana usenge mwingi, badala ya kucheza mpira wanalalalala tu maae zao.
Naona kuna wafau wanasema simba inaanzia home ? Imekaaje hiyo
 
Semi-final: Simba vs Stellenbosch

Zamalek wameikimbia Simba.

Nilishawahi kusema Stellenbosch ni timu ngumu sana, maandalizi yaanze. Pia Fadlu aangaliwe vizuri asije akaleta mambo ya familia.

Simba kuanza tena ugenini na kumalizia nyumbani. Hii advantage tusiichezee tena.
Tarehe ngapi mechi?
 
Back
Top Bottom