dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,423
.... shukran Mkuu at least wewe umenielewa. Achana na hayo ma-uranimu, hata simple tools tu physics zetu hazijaweza kutusaidia.Same physics, different intentions
Kama kusoma tumesoma sana ila applicationnnchi zetu za africa ni 0, ata bby kutengeneza generator hatujaweza sembuse hyo advanced physics,
Jibu ni wanatuletea physics ila wanajua hatuwezi kuitumia na kuitumia ni gharama kias kwamba hatuwezi iapply, na mara nying inafundishwa nuclear physics ya kuproduce umeme sio bomb maana kutengeneza bomb kunahitaji kupurify uranium na kutengeneza Uranium 235 isotope ambayo ni very tricky na unstable which we cant afford