Wajameni, ni lini Tanzania tutakuwa na umeme wa nuclear, kwasababu tunazo resources zake yaani uranium ya kumwaga huko Ruvuma na Mtwara, mbona tungepata umeme mwingi sana tuwauzie hata hawa wakenye jamani?
halafu, umeme wa bwawa mto Rufiji, lini? utagarimu hela ngapi na unaanza lini? angalia Brazil wanazo Kw kama 12,000, na Brazil hawana tatizo la umeme na wanauza karibia kwa latin america yote...maji ya Rufiji yanaenda tu baharini, watz wanaanglia tu hawana lolote, tutajikomboa lini wajameni?