Ntakua nmekosea kweli?

Ntakua nmekosea kweli?

Jaslaws

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
6,016
Reaction score
5,300
Asalaam waungwana..!!!ishu iko hivi natiririka.... niko na mpenzi wangu kwa mda sasa,mpenzi wangu huyu ali kua ameajiliwa kwenye kampuni binafsi sasa juzi yalitokea matatizo kazini kwake,kwa bahati mbaya akaonekane yeye ndo kasababisha na akawa amefukuzwa kazi..tulikua na wakati mgumu kumfariji as alikua amechanganyikiwa kabisa coz hiyo kazi ndo alikua anaitegemea kumtunza yeye na mama yake.

Tangu amefukuzwa kazi amebadilika nmekua simwelewi imekua kma vile mie ndo nmemfukuza kazi.

Jana nlimpigia simu mida ya saa tisa mchana akanambia anaitaji kumpumzika and that shes drinking..for all of that time that we wre together i had never seen or heard that she drnks..sikumsubua for i knew her frastrations..

tangu saa tisa nlikua nikijitahidi kumpigia simu bila mafanikio amekua hapokei simu yangu,nimetuma text mesges hakuna response yoyote watsapp vile vile,nkimcheck watsapp some times anakua online some times offline,that meant she sees ma text msges and my calls ila anafanya kusudi tu.nlijitahidi kumtafta kwa mtindo huo ila hakupatikana..ilivofika mida ya saa sita usiku isaid to ma self no ihave to be a responsble boyfriend nkaamua kwenda kumtafuta nlienda mojakwaoja kwao,mamake ajui chochote kuhusu mimi au mimi na mwanae ila ihad to go kwao nione kama atakuepo nyumbani

Nlimkuta mamake tu na yeye alikua worriedaliniekeza kwa possible frnds wake maybe uwenda nkampata huko ila wapi..igaveup nkaenda zangu waiting to hear from her in the morning..mdogomdogo nkaenda zangu home..sasa leo asubuhi mida ya saa tatu akantext eti babe gudmorning..mpaka naandika hii post sijamjibu salaamu yake and she has not taken any trouble kunitafuta since that time..

siitaji kubembelezwa ila nlitaka nione how sorry she was about wat she dd..nmemtumia msg telling her em tired of her shits... je wana mmu nmemuonea kweli huyu ama i should have wait..?(kuweka kumbukumbu sawa huyu ni yule demu nliletaga uzi hapa kua wangu anavuta bangi.)
 
u hv bn unfair.. she needs sometime alone...just elewa her in tht situation.
 
Ama kweli nimeamini Ukipata matatizo ndo utajua nani rafiki nani........

Hata kama ungekesha siku tatu kumtafuta umeshindwa kumjibu msg yake?

Kila binadamu ana njia yake ya kupokea tatizo. Mwingine hataki mawasiliano na dunia mpaka akili yake ikishakubaliana na hali halisi....wewe badala ya kumsikiliza umemdiss
 
stress gan hzo anakuavoid kias hcho? Mi nadhan wakat huu ndo angekuwa anakaa na wewe karibu lakn sivyo! Huyu ana mambo mengne nyuma ya pazia. Utakuja stuka kuna mv mwngne anamfariji wakat huu we unaishia kutext na colz tu
 
to me i think she really needs u, kama kweli bado unampenda unaweza kumfariji katika hiki kipindi kigumu cha kufukuzwa kazi na hata kumsaidia kuacha kuvuta bangi,kuachana nae kabisa kunaweza kupelekea kumpoteza kabisa
 
By the way me nazani utakuwa sawa coz wewe ulipaswa kuwa sehemu kubwa ya faraja yake kama mtu wake wa karibu na si vinginevyo.
 
Pole sana mkuu, you had to give her an ample time since you already knew what the situation is she passing through.

Sometimes she needs mind relaxement then she will be back on the line!
 
alikua anahitaji sometimes alone.... yaani kuna time kuna mambo unaface na unahitaji kuwa mwenyewe tu..... we mleta mada ilibidi umuelewe katika hilo
 
alikua anahitaji sometimes alone.... yaani kuna time kuna mambo unaface na unahitaji kuwa mwenyewe tu..... we mleta mada ilibidi umuelewe katika hilo

em jiweke ktk position ya mtoa mada, afu tafakari kdogo. Uje na jibu.
 
Eti Waafrika hatuna utamaduni wa time alone. Basi ntakuwa alien kwa staili hii.
 
aaaaah alihitaji muda wa kuvuta bangi ili apate akili ya kupanga afanye nn baada ya hapo.......ila ujafanya fea aisee mwenzio unajua situation aliyonayo unafikiri atapata muda wa kujibu msg za boyfrnd kwa wakati huo? mpe muda atakuwa sawa baba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom