Ninayo mimi mkuu, imetumika mara moja kukwamua gari aina ya bedford kutoka kwenye tope, unaweza kutumia kuvuta au kunyanyua hadi tani 10! Uzito wake nikiu-convert into gr ni 175* 1000=gr175000
Ninayo mimi mkuu, imetumika mara moja kukwamua gari aina ya bedford kutoka kwenye tope, unaweza kutumia kuvuta au kunyanyua hadi tani 10! Uzito wake nikiu-convert into gr ni 175* 1000=gr175000
Mh, hvi kuna tofauti gani kati ya Neclace na Chain? kiswaziswazi nadhani Chain ikiwa na kidani ndy inaitwa Neclace?!!.....wengine tulikimbia umande wa kimombo banaaa, saint kayumbba!:lol: