mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,183
- 1,083
Ni taasisi kubwa sana Tanzania..Ni taasisi iliokuwa na ukaribu mkubwa na waandamizi wa chama tawala..Ni taasisi ilioikopesha sana serikari ya awamu ya nne..Ni taasisi yenye miradi mingi ya mabilioni ya tzs..Ni taasisi yenye viongozi wanaoamini kuondoka kwao pengo haliwezi kuzibika..Ni taasisi iliofanya baadhi ya mazuri mengi kwa watanzania na wastaafu...Ni taasisi yenye tuhuma lukuki kuisimamizi...
Sishangai attention kubwa sana kwenye suala lolote linalohusu NSSF..Wafaidika wa mfumo wa kifalme ulioangushwa ama uliokuwepo wapo ktk juhudi kubwa kukosoa,kuvuruga teuzi,kukosoa teuzi,kukejeli wafanya uteuzi si kwa maslahi mapana ya taifa bali maslahi ya minara yao inayokwenda kuangushwa na utawala mpya unaokwenda kutamalaki muda si mrefu.
Ni rai yangu kwa mteuliwa yeyote ajae kumwomba Mwenyezi Mungu sana juu ya uzima wake,usalama wake,afya yake ya usalama lakini pia kuchukua tahadhari kubwa sana katika utendaji wake wa kila siku ili kuishinda mitego,mishale,fitina na uadui ulio mbeleni.
Ni kiu kubwa kwa wafaidika wa mfumo uliokuwapo kufanya kila wawezalo kuhakikisha mteuliwa yeyote anafail ktk delivery of premium duties,responsibilities,tasks,assignments and etc ili kumprove wrong JPM kwa namna moja au nyingine.Mabadiriko yalioimbwa ndio haya yanatekelezwa kwa kasi kubwa na kwa faida ya wengi na si wachache..wakosoaji hawana budi kuwepo kwa wingi sana ili kuwavunja moyo wapambanaji ,wachapakazi,watenda haki...
Angalizo hekima kubwa sana yatakiwa katika utekelezaji wa majukumu yenye maslahi mapana kwa taifa na wananchi wote kwa ujumla..mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...
Viva Serikari ya JPM...viva Tanzania,Viva Africa
Sishangai attention kubwa sana kwenye suala lolote linalohusu NSSF..Wafaidika wa mfumo wa kifalme ulioangushwa ama uliokuwepo wapo ktk juhudi kubwa kukosoa,kuvuruga teuzi,kukosoa teuzi,kukejeli wafanya uteuzi si kwa maslahi mapana ya taifa bali maslahi ya minara yao inayokwenda kuangushwa na utawala mpya unaokwenda kutamalaki muda si mrefu.
Ni rai yangu kwa mteuliwa yeyote ajae kumwomba Mwenyezi Mungu sana juu ya uzima wake,usalama wake,afya yake ya usalama lakini pia kuchukua tahadhari kubwa sana katika utendaji wake wa kila siku ili kuishinda mitego,mishale,fitina na uadui ulio mbeleni.
Ni kiu kubwa kwa wafaidika wa mfumo uliokuwapo kufanya kila wawezalo kuhakikisha mteuliwa yeyote anafail ktk delivery of premium duties,responsibilities,tasks,assignments and etc ili kumprove wrong JPM kwa namna moja au nyingine.Mabadiriko yalioimbwa ndio haya yanatekelezwa kwa kasi kubwa na kwa faida ya wengi na si wachache..wakosoaji hawana budi kuwepo kwa wingi sana ili kuwavunja moyo wapambanaji ,wachapakazi,watenda haki...
Angalizo hekima kubwa sana yatakiwa katika utekelezaji wa majukumu yenye maslahi mapana kwa taifa na wananchi wote kwa ujumla..mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...
Viva Serikari ya JPM...viva Tanzania,Viva Africa