M mzee wa nzegea Member Joined Apr 5, 2014 Posts 39 Reaction score 8 Mar 3, 2015 #1 Habari wanajamii wenzangu, kwa aliyefanya oral interview ya nssf baada ya writen 2 ifm, atujuze ilikuaje ?maana kuna dogo langu anasema, amepigiwa leo tar 3 march aende kwa oral jmos 14 march pale nssf hq.
Habari wanajamii wenzangu, kwa aliyefanya oral interview ya nssf baada ya writen 2 ifm, atujuze ilikuaje ?maana kuna dogo langu anasema, amepigiwa leo tar 3 march aende kwa oral jmos 14 march pale nssf hq.
Z zainath Member Joined Oct 30, 2013 Posts 16 Reaction score 5 Mar 3, 2015 #2 kwa hiyo wanaendelea kuita, sisi tuliokuwa bado hatujaitwa tuendelee kujipa moyo tutaitwa? tujuzeni mnaopigiwa simu.
kwa hiyo wanaendelea kuita, sisi tuliokuwa bado hatujaitwa tuendelee kujipa moyo tutaitwa? tujuzeni mnaopigiwa simu.