Nssf oral interview

Joined
Apr 5, 2014
Posts
39
Reaction score
8
Habari wanajamii wenzangu, kwa aliyefanya oral interview ya nssf baada ya writen 2 ifm, atujuze ilikuaje ?maana kuna dogo langu anasema, amepigiwa leo tar 3 march aende kwa oral jmos 14 march pale nssf hq.
 
kwa hiyo wanaendelea kuita, sisi tuliokuwa bado hatujaitwa tuendelee kujipa moyo tutaitwa? tujuzeni mnaopigiwa simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…