chambi1509
Member
- Mar 29, 2018
- 95
- 42
Wewe utakuwa huna akili,kama unayo basi imejaa MAVI, jaribu kutafakar kabla ya kuongea! Unataka kuniambia kwanini apo awali watu walikuwa wanapewa mafao yao Mara baada ya kuacha/kuachishwa kazi?Labda nikuulize ni sheria ipi inasema kuna fao la kujitoa!?
Pili ni nini maana ya mifuko ya jamii kama ilivyoainishwa na ILO!?
Mbona hamuendi kudai kupewa makato ya PAYEE mnayokatwa kwa mwezi!?
Jifunze kujiwekea akiba ya uzeeni wakati huna uwezo wa kuzalisha
Ppf wamelipa, kwanini Nssf hawalipi? HILO ndilo swali la kujiuliza