NSSF ni taasisi ya serikali yenye wajibu na majukumu yakukusanya nakupokea michango ya wafanyakazi kutoka sector binafisi, kama wote tujuavyo,ingawa huko nyuma kidogo kipindi cha Dr Ramadhan Dau,NSSF walikua wanapokea michango toka hata kwa watumishi wa UMA,hivyo ndivyo ilivyokua kwa mifuko mingine ya hifadhi kama GEPF,LAPF,PPF,PSPF!
Sasa hivi chini ya uongozi wa Magufuri,kaja na hoja NSSF kwa wafanyakazi wa sekita binafisi tu,na PSSSF kwa wafanyakazi wa Uma tu!!
Nikirudi kwenye mada yangu kuhusu mafao yakujitoa,nasikitika sana kuona watanzania wenzangu wakipata shida kubwa kwenye kupata mafao yao!!
Nina mdogo wangu,ambaye naishi nae sasa kwa miaka miwili,tangu aachishwe kazi kwenye ofisi yao! Alipewa barua yakuachishwa kazi,akalipwa sitahiki zake zote!
Alipoenda NSSF kufungua mafao yake,aliambiwa asubiri hadi ipite miezi sita,dogo akasibiria kweli,miezi sita ikaisha,akarudi kufungua file la mafao yake 17.8.2017!
Baada ya hapo akapewa tena miezi mitatu arudi kucheki kama malipo yako tayari,dogo aliomba kurudi home kijijini,nikamwambia hapana,usiende komaa kwanza hapa town,unaweza pata walau kibarua....
Sasa hawa NSSF wamekua wanampiga calender kila siku,moja pesa yako tayari iko approved,tunasubiria tu wahasibu walipe! Kuna siku nilienda nae pale NSSF ubungo,watu walikua wengi,wengine wanalia,wengine wanaanguka hadi kuzimia,wengine wagonjwa!
Sasa nyie NSSF kama pesa zakuwalipa hazipo kwa nini msiwe wakweli tu,maana watu/mtu anapokua anapewa ahadi kwamba kuna pesa unapata,anafurahi but inapokuja anakosa,ana umia sana,tena sana tu!
Wito wangu kwa MD mpya bwana William Erio,haya mambo yanayofanyika unayajua fika kabisa,punguzeni uwekezaji kwenye miradi isiyoka na tija,lipeni watu mafao yao! Miradi kama NSSF Nyerere Bridge,mradi wa Kigamboni Ecco Village,ni moja ya miradi iliyokula pesa nyingi,ambazo zingetumika kuwalipa watu!!
Sasa hivi chini ya uongozi wa Magufuri,kaja na hoja NSSF kwa wafanyakazi wa sekita binafisi tu,na PSSSF kwa wafanyakazi wa Uma tu!!
Nikirudi kwenye mada yangu kuhusu mafao yakujitoa,nasikitika sana kuona watanzania wenzangu wakipata shida kubwa kwenye kupata mafao yao!!
Nina mdogo wangu,ambaye naishi nae sasa kwa miaka miwili,tangu aachishwe kazi kwenye ofisi yao! Alipewa barua yakuachishwa kazi,akalipwa sitahiki zake zote!
Alipoenda NSSF kufungua mafao yake,aliambiwa asubiri hadi ipite miezi sita,dogo akasibiria kweli,miezi sita ikaisha,akarudi kufungua file la mafao yake 17.8.2017!
Baada ya hapo akapewa tena miezi mitatu arudi kucheki kama malipo yako tayari,dogo aliomba kurudi home kijijini,nikamwambia hapana,usiende komaa kwanza hapa town,unaweza pata walau kibarua....
Sasa hawa NSSF wamekua wanampiga calender kila siku,moja pesa yako tayari iko approved,tunasubiria tu wahasibu walipe! Kuna siku nilienda nae pale NSSF ubungo,watu walikua wengi,wengine wanalia,wengine wanaanguka hadi kuzimia,wengine wagonjwa!
Sasa nyie NSSF kama pesa zakuwalipa hazipo kwa nini msiwe wakweli tu,maana watu/mtu anapokua anapewa ahadi kwamba kuna pesa unapata,anafurahi but inapokuja anakosa,ana umia sana,tena sana tu!
Wito wangu kwa MD mpya bwana William Erio,haya mambo yanayofanyika unayajua fika kabisa,punguzeni uwekezaji kwenye miradi isiyoka na tija,lipeni watu mafao yao! Miradi kama NSSF Nyerere Bridge,mradi wa Kigamboni Ecco Village,ni moja ya miradi iliyokula pesa nyingi,ambazo zingetumika kuwalipa watu!!
