NSSF Moshi, Kwanini wanalazimisha rushwa?

NSSF Moshi, Kwanini wanalazimisha rushwa?

concrete15

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
882
Reaction score
323
Hivi hawa NSSF Moshi mbona wanaforce mtu kutoa rushwa kama mtu alitoa michango yake kwanini msimpe kama kafuata taratibu zote.

Sasa mimi ntatumia TAKUKURU, haiwezekani mnizungushe miezi yote wakati hakuna kitu kipya mnachohitaji kutoka kwangu sasa dawa yenu iko jikoni.

Wadau embu nipeni utaratibu jinsi ya kutega kupitia TAKUKURU au na wao watanigeuka.
 
Sijui ni rushwa sijui hawajui wajibu wao.yan hawaeleweki.hivi kweli mtu ufatilie kwa miez sita inamana kazi zao ofisini ni zipi?hawajui kuhudumia wateja kwa wakati.hii serikali imeoza kbs
 
Back
Top Bottom