NSSF lini mtaanza kulipa wanachama wenu?

NSSF lini mtaanza kulipa wanachama wenu?

Mwakih

Senior Member
Joined
May 16, 2011
Posts
168
Reaction score
54
Leo watu wameachishwa kazi kutokana na mazingira magumu ya wao kuendelea kuajiri, watu wanahitaji pesa zao ili waweze kufanya ustaarabu mwingine lakini mpo kimya na hela zao. Wapeni pesa zao jamani wakafungue hata vibanda vya mihogo.
 
msaada nashindwa kuandika Uzi wangu maelekezo plz
 
Leo watu wameachishwa kazi kutokana na mazingira magumu ya wao kuendelea kuajiri, watu wanahitaji pesa zao ili waweze kufanya ustaarabu mwingine lakini mpo kimya na hela zao. Wapeni pesa zao jamani wakafungue hata vibanda vya mihogo.
Yaani Fao la kujitoa wamelipora na kulipeleka Hazina......

Yaani hii nchi inakoelekea ni kubaya sana.....
 
Ki ukweli nafurahia sana nikiona watu wengi tunaumizwa na maamuzi ya ccm,nadhani tushaanza kuelewana na kuongea rugha moja.2020 vote kwa lissu.
 
Ile Sheria yao ilishaanza kazi tokea mwezi august
 
Wakimaliza kujenga viwanda..
tuliambiwa serikali imemwaga mabilioni huko iliyokuwa inadaiwa..
unafiki hauendi mbali
*watumishi kilio
*elimu ya juu kilio
*wastaafu kilio
*akina moo(wafanyabiashara) kilio
*wakulima tulioambiwa wameondolewa ushuru kwamba sasa mambo safi nao kilio..
 
Ki ukweli nafurahia sana nikiona watu wengi tunaumizwa na maamuzi ya ,nadhani tushaanza kuelewana na kuongea rugha moja.2020 vote kwa lissu.
Duh! Nipo najamaa zangu kampuni yetu iliisha fungwa sasa tukapanga tuchukue pesa tukafanye kilimo. Tumekanyaga nssf hadi sori zimeisha tunaambiwa bado file halijafunguliwa
Yaani Fao la kujitoa wamelipora na kulipeleka Hazina......

Yaani hii nchi inakoelekea ni kubaya sana.....
Duh! Nipo najamaa zangu kampuni yetu iliisha fungwa sasa tukapanga tuchukue pesa tukafanye kilimo. Tumekanyaga nssf hadi sori zimeisha tunaambiwa bado file halijafunguliwa
 
Back
Top Bottom