Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,920
- 15,607
Aljazeera yasema North Korea imerusha kombora hatari zaidi la balistiki lililoelekezwa Japan, na kupita juu ya Japan. Kombora hilo lililotembea kwa spidi ya March 17 (mara 17 ya spidi ya sauti) lilionekana likijimwambafai kwa kukaa angani kwa zaidi ya dakika 20.
Aidha, Japani imelalamika kuwa kombora hilo limezua taharuki kubwa nchini Japan, baada ya kupelekea vingo'ora vya shambulizi la makombora kusikika Japan huku wajapan wakikimbilia kujificha kwenye mashimo (mahandaki) kama panya wanavyokimbilia kwenye mashimo yao kuokoa maisha yao wanapokurupushwa na paka. Sambamba na hilo pia usafiri wa treni ulisitishwa.
====
Aidha, Japani imelalamika kuwa kombora hilo limezua taharuki kubwa nchini Japan, baada ya kupelekea vingo'ora vya shambulizi la makombora kusikika Japan huku wajapan wakikimbilia kujificha kwenye mashimo (mahandaki) kama panya wanavyokimbilia kwenye mashimo yao kuokoa maisha yao wanapokurupushwa na paka. Sambamba na hilo pia usafiri wa treni ulisitishwa.
====