Jonh-B
Member
- Jan 25, 2022
- 6
- 5
Ndugu zanguni tangu tarehe 08/01/2022 kulifanyika aptitude test interview ya investigation office and assistant investigation kwa seem kama UDOM, MIPANGO, AND ST.JOHN wakasema watatoa majina kwa ambao watapass, naombeni kuuliza bado hawajatoa na hutoa baada ya muda gan?