MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,652
- 48,416
- Thread starter
- #21
Wow! kwa wale wanaojiuliza 519b shillings ni hela kiasi gani, ni $5 billion dola za Marekani..unajua huko kwa wenzetu ukiwaambia mabilioni ya shilingi wanafikiria ni thousands of dollars tu maana hela zao ni makaratasi tu (yaani hazina value kabisa)..tsh huwa inanikumbusha Zimbabwe..anyway, Just think of what $5 billion dollars can do for the country if it is used appropriately...hizo ni hela nyingi sana..zinaweza finance big 4
Kwao ni trillions....