Jeff JF-Expert Member Sep 26, 2009 1,293 199 Dec 29, 2011 Thread starter #21 Mkayah said: Vp bingwa mbona kimya sasa? Click to expand... hapana mkuu,fanya kuongeza kidogo,350,000 nikuachie chombo,nimemcheki jamaa naona cm yake haipatikan kabisa,ngoja nicheki utaratibu mwingne
Mkayah said: Vp bingwa mbona kimya sasa? Click to expand... hapana mkuu,fanya kuongeza kidogo,350,000 nikuachie chombo,nimemcheki jamaa naona cm yake haipatikan kabisa,ngoja nicheki utaratibu mwingne
Zemu JF-Expert Member Jun 5, 2008 518 80 Dec 29, 2011 #22 daaah naitamani kweli hio kitu, ila january ngumu mbyaaaa, watoto shule nk, anyway ngoja nipige ufisadi somewhere ukienda poa tutashtuana.
daaah naitamani kweli hio kitu, ila january ngumu mbyaaaa, watoto shule nk, anyway ngoja nipige ufisadi somewhere ukienda poa tutashtuana.
Jeff JF-Expert Member Sep 26, 2009 1,293 199 Dec 30, 2011 Thread starter #24 Zemu said: daaah naitamani kweli hio kitu, ila january ngumu mbyaaaa, watoto shule nk, anyway ngoja nipige ufisadi somewhere ukienda poa tutashtuana. Click to expand... Hamna mbaya mkuu! Unakaribishwa sana!
Zemu said: daaah naitamani kweli hio kitu, ila january ngumu mbyaaaa, watoto shule nk, anyway ngoja nipige ufisadi somewhere ukienda poa tutashtuana. Click to expand... Hamna mbaya mkuu! Unakaribishwa sana!