Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,169
- 1,711
Toa tangazo lako hapa km unashindwa kuweka tangazo lako uliza usaidiwe,mpyuuuu
Mkuu povu la nini sasa? Kwani mi nikiweka hapo la kwangu ndo linafuta lako? Acha hizo.....dumbnut.
Toa tangazo lako hapa km unashindwa kuweka tangazo lako uliza usaidiwe,mpyuuuu
Ndugu we hujui wengine tunaishi mabwe pande hata net haishiki tunavizia za ofic...Kwa hivyo wazo la kuuza hizo simu limekuibukia Ofisini Mkuu????:heh:
Mkuu povu la nini sasa? Kwani mi nikiweka hapo la kwangu ndo linafuta lako? Acha hizo.....dumbnut.
sijawaelewa golani anasema simu ipo nyumbani,mzee naye anajiwekea picha kwani uliambiwa kuna mtu asiyejua e 72 ilivyo? nataka kujua ilivyo kwani muuzaji amesema ni used
F*****