jamani nimepokea zawadi ya simu mbili moja ni Nokia e71 ipi ni bora kwa kuperuzi na uimara na Nokia asha 303 moja kati ya hizi nataka kumgei bwana mdogo me nibaki na imara kwa kuperuzi
mkuu haina maana dogo ndo awe na kitu kibaya we uwe na kizuri cha muhimu angalia matumizi yako. kama ni net na kupiga simu tu asha 303 sio mbaya, e71 ina mambo mengi na nzuri kwa mtu anaeanza kujifunza mambo ya smartphone.
E71 kwanza vifaa vyake vyote viko pia inabrowse vizur saaaana mbali na hayo ni imara pia ina application nyingi mnooo as ina camera front nad back so hata video call saaana tu skype too
mkuu haina maana dogo ndo awe na kitu kibaya we uwe na kizuri cha muhimu angalia matumizi yako. kama ni net na kupiga simu tu asha 303 sio mbaya, e71 ina mambo mengi na nzuri kwa mtu anaeanza kujifunza mambo ya smartphone.