Nokia 1200

Nokia 1200

segos

Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
19
Reaction score
0
Wakuu naombeni msaada simu ya nokia 1200 iliingia maji ina wiki moja haiwaki nimeipasha na mashine lakini bado haiwaki nifanyeje naomba msaada segos
 
Hapo nunua nyingine tu mkuu tayari kimeo hicho
 
Nokia 1200 iliingia maji ina mda mrefu nimejaribu kuipasha na mashine lakini bado haiwaki nifanyeje?
 
Wakuu tecno svn:78 ya laini tatu inawaka wakati mwingine inazima nifanyeje nimejaribu kuipashapasha na mashine ila bado mda mwingine inasumbua nifanyeje wakuu?
 
Wakuu tecno svn:78 ya laini tatu inawaka wakati mwingine inazima nifanyeje nimejaribu kuipashapasha na mashine ila bado mda mwingine inasumbua nifanyeje wakuu?
 
Wakuu tecno svn:78 ya laini tatu inawaka wakati mwingine inazima nifanyeje nimejaribu kuipashapasha na mashine ila bado mda mwingine inasumbua nifanyeje wakuu?
 
Wakuu naombeni msaada simu ya nokia 1200 iliingia maji ina wiki moja haiwaki nimeipasha na mashine lakini bado haiwaki nifanyeje naomba msaada segos

nokia 1200 aka torch kwanza unatakiwa upime short circuit 2 safisha injini kwa mafuta mepesi nown as benzine hakikisha unatoa kutu zote zinazo onekana kwa macho na zisizo onekana kwa kutumia brush kama mswaki. Pakaza flax katika cpu na power ic. Kisha ipashe kwa mashine yako kufanya mafuta yapenye ndani ya hizo ic.baada ya kufanya hivyo jaribu kuiwasha simu kama ikigoma isome info ktk computer.
 
Wakuu tecno svn:78 ya laini tatu inawaka wakati mwingine inazima nifanyeje nimejaribu kuipashapasha na mashine ila bado mda mwingine inasumbua nifanyeje wakuu?

jaribu ku restore factory setting kwa kuingiza code 1122 au 1234 au 0000
 
Back
Top Bottom