Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Mnaofikiria KITOPIAN mko hivi, mgombea wa ccm kila kukichaa anatoa Rushwa kwakuwapigia mawaziri na wkurugenzi wapelekee PESA majimboni!!! Je Nec wamemuita? Endeleeni kupalia mkaaa wa Moto kwenye chungu kitakaposhika joto mtajua...!!Kwa hiyo kaitwa kwasababu kasema atashinda? Wote tumemsikia Dk. Mahela hivyo usituletee uongo wako humu. Kamati za maadili zimewekwa kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi kufanya kazi hiyo. Mtulie Lissu akatoe ushahidi wa aliyosema Musoma.