Uchaguzi 2020 Noel Msigwa: Tume ya Taifa ya Uchaguzi mlishampanga mshindi wa kiti cha Urais?

Kwa hiyo kaitwa kwasababu kasema atashinda? Wote tumemsikia Dk. Mahela hivyo usituletee uongo wako humu. Kamati za maadili zimewekwa kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi kufanya kazi hiyo. Mtulie Lissu akatoe ushahidi wa aliyosema Musoma.
Mnaofikiria KITOPIAN mko hivi, mgombea wa ccm kila kukichaa anatoa Rushwa kwakuwapigia mawaziri na wkurugenzi wapelekee PESA majimboni!!! Je Nec wamemuita? Endeleeni kupalia mkaaa wa Moto kwenye chungu kitakaposhika joto mtajua...!!
 
Hawana uwezo wa kumsimamisha Lissu. Ukiondoa sifa ya Lissu kuwa mgombea ni makamu wa mwenyekiti hivyo atatembea na beat ya kauli zangu nimezitoa kama makamu mwenyekiti kama Raisi anavyosema kuwa yy bado ni Rais
 
IMG-20200928-WA0042.jpg
 
Nimeshangaa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anapiga kampeni against ilani ya uchaguzi ya CHADEMA kwenye suala la madini, anadai eti CHADEMA ikishika dola itagawa madini yetu.

Sasa tume si ijiunge tu na timu ya kampeni ya CCM waifanyie kampeni CCM?

Hilo tamko la tume ni as if walikaa kikao na Polepole wakalidraft pamoja
Tumeshikwa pa baya.
 
Uzuri wananchi tuna mshindi wetu tayari uyo wa kwao wajiandar kwenda nae uhamishoni

SUBIRI KIDOGO
 
Anaandika Mwalimu Noel Msigwa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imejiaibisha kwa mara nyingine tena. Kumuita mgombea wa Chadema Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili kumtaka ajieleze kwanini anasema lazima atashinda uchaguzi huu ni wazi Tume hiyo Ina mshindi wake mfukoni ambapo wanapata ukakasi wanaposikia mgombea mwingine akisema atashinda uchaguzi huu.

Inafahamika wazi Tume hiyo ya uchaguzi haiko huru na ilichofanya ni maelekezo tu kutoka Chama Cha Mapinduzi baada ya kutishwa na Kasi kubwa ya na Kasi kubwa ya Mgombea wa Chadema.

Wito wa kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29/9 kumeivua nguo Tume hiyo kwani Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Hamphrey Polepole siku moja kabla alishaielekeza Tume hiyo inapaswa kumfanyia Nini mgombea wa Chadema.

Habari za ndani za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zinasema tayari CCM ilishawaelekeza kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa siku 14 kwa hiyo wanachofanya Sasa ni mazingaombwe tu na Utekelezaji wa maelekezo ya CCM.Hata kabla ya Mkurugenzi wa NEC kujitokeza hadharani jana kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29 habari zilishavuja kwamba walishafikia maamuzi na CCM kuzuia kampeni za Lissu kwa siku hizo 14 kuanzia tarehe 1 October.

NEC imeshindwa kuficha mapenzi yake kwa CCM kwani Mgombea wa CCM na chama chake wamekuwa wakivunja waziwazi maadili ya Uchaguzi lakini hawakuwahi kukemewa.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akitoa ahadi za Ujenzi wa Barabara Kama Rais na anapiga simu kuelekeza mawaziri katikati ya mikutano ya kampeni kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akisema katika kampeni zake kamwe hatapeleka Maendeleo kwenye Jimbo au Kata itakayochagua mpinzani kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Tume inasema Lissu kosa lake ni kusema atashinda Urais lakini Tume hiyo haijaona Kama mgombea wa CCM kusema watu hatawapelekewa maendeleo wakichagua mpinzani tayari ni kujitangaza mshindi.

Waziri Mkuu wa Tanzania amekuwa akipita kila Kona ya nchi kufanya kampeni za Mgombea Urais wa CCM kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Uchaguzi imeweka Pamba masikioni.

Mgombea Urais wa CCM amekuwa akitumia Televisheni ya Taifa kuanzia asubuhi mpaka jioni kujitangaza live mikutano yake ya Kampeni huku wapinzani wake wakikosa Fursa hiyo kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba madikioni.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Humphrey Polepole amekuwa akirushwa Live na Televisheni ya Taifa akiongea na Waandishi wa Habari na amekuwa akimtukana mgombea Urais wa Chadema matusi makubwa yasiyoandikika hapa kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba Masikioni.

Mpaka ninapoandika hapa wagombea kadhaa wa Upinzani walioenguliwa kwenye uchaguzi hawajapewa taarifa rasmi wanarudishwa au kuondolewa kwenye kinyang'anyiro baada ya kukata rufaa lakini Tume hiyo Wala haijali zaidi ya kumfungulia mashtaka mgombea Urais wa Chadema kwamba kwanini anasema atashinda Urais.

Yapo mengi Sana ya kuandika hapa hayo niliyoweka ni machache tu lakini itoshe kusema Tume hii na CCM hawakujiandaa na Upinzani mkubwa hivi kutoka Chadema ndiyo maana bila aibu wanamshtaki Lissu eti kwanini anasema atashinda Urais.

Hakuna Vurugu yoyote itakayofanyika nchi hii Kama Haki itatendeka katika Uchaguzi huu.Hawa wanaojihami wamepanga kuiba kura na kufanya uhalifu kwenye uchaguzi huu ndiyo maana wanatapatapa wanapoona mgombea akitaka Haki Itendeke.

Nitaandika zaidi tarehe 2/10 baada ya maamuzi ya NEC ya kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa wiki mbili.
Tume mnataka kutuchanganya wananchi,tunaona na kusikia,ya Lissu ni dhahiri mmeegemea upande.Kumbuka ninyi ni waamuzi,msituchanganye wananchi.Wagombea wote ni Watanzania na wote ni wazalendo.
 
Anaandika Mwalimu Noel Msigwa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imejiaibisha kwa mara nyingine tena. Kumuita mgombea wa Chadema Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili kumtaka ajieleze kwanini anasema lazima atashinda uchaguzi huu ni wazi Tume hiyo Ina mshindi wake mfukoni ambapo wanapata ukakasi wanaposikia mgombea mwingine akisema atashinda uchaguzi huu.

Inafahamika wazi Tume hiyo ya uchaguzi haiko huru na ilichofanya ni maelekezo tu kutoka Chama Cha Mapinduzi baada ya kutishwa na Kasi kubwa ya na Kasi kubwa ya Mgombea wa Chadema.

Wito wa kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29/9 kumeivua nguo Tume hiyo kwani Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Hamphrey Polepole siku moja kabla alishaielekeza Tume hiyo inapaswa kumfanyia Nini mgombea wa Chadema.

Habari za ndani za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zinasema tayari CCM ilishawaelekeza kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa siku 14 kwa hiyo wanachofanya Sasa ni mazingaombwe tu na Utekelezaji wa maelekezo ya CCM.Hata kabla ya Mkurugenzi wa NEC kujitokeza hadharani jana kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29 habari zilishavuja kwamba walishafikia maamuzi na CCM kuzuia kampeni za Lissu kwa siku hizo 14 kuanzia tarehe 1 October.

NEC imeshindwa kuficha mapenzi yake kwa CCM kwani Mgombea wa CCM na chama chake wamekuwa wakivunja waziwazi maadili ya Uchaguzi lakini hawakuwahi kukemewa.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akitoa ahadi za Ujenzi wa Barabara Kama Rais na anapiga simu kuelekeza mawaziri katikati ya mikutano ya kampeni kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akisema katika kampeni zake kamwe hatapeleka Maendeleo kwenye Jimbo au Kata itakayochagua mpinzani kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Tume inasema Lissu kosa lake ni kusema atashinda Urais lakini Tume hiyo haijaona Kama mgombea wa CCM kusema watu hatawapelekewa maendeleo wakichagua mpinzani tayari ni kujitangaza mshindi.

Waziri Mkuu wa Tanzania amekuwa akipita kila Kona ya nchi kufanya kampeni za Mgombea Urais wa CCM kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Uchaguzi imeweka Pamba masikioni.

Mgombea Urais wa CCM amekuwa akitumia Televisheni ya Taifa kuanzia asubuhi mpaka jioni kujitangaza live mikutano yake ya Kampeni huku wapinzani wake wakikosa Fursa hiyo kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba madikioni.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Humphrey Polepole amekuwa akirushwa Live na Televisheni ya Taifa akiongea na Waandishi wa Habari na amekuwa akimtukana mgombea Urais wa Chadema matusi makubwa yasiyoandikika hapa kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba Masikioni.

Mpaka ninapoandika hapa wagombea kadhaa wa Upinzani walioenguliwa kwenye uchaguzi hawajapewa taarifa rasmi wanarudishwa au kuondolewa kwenye kinyang'anyiro baada ya kukata rufaa lakini Tume hiyo Wala haijali zaidi ya kumfungulia mashtaka mgombea Urais wa Chadema kwamba kwanini anasema atashinda Urais.

Yapo mengi Sana ya kuandika hapa hayo niliyoweka ni machache tu lakini itoshe kusema Tume hii na CCM hawakujiandaa na Upinzani mkubwa hivi kutoka Chadema ndiyo maana bila aibu wanamshtaki Lissu eti kwanini anasema atashinda Urais.

Hakuna Vurugu yoyote itakayofanyika nchi hii Kama Haki itatendeka katika Uchaguzi huu.Hawa wanaojihami wamepanga kuiba kura na kufanya uhalifu kwenye uchaguzi huu ndiyo maana wanatapatapa wanapoona mgombea akitaka Haki Itendeke.

Nitaandika zaidi tarehe 2/10 baada ya maamuzi ya NEC ya kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa wiki mbili.

Hii siyo tume ya uchaguzi ni tume ya kuwakandamiza wapinzani. Tume imesahau kuwa mgombea wa ccm alipokuwa kigoma alitasema kuwa yeye ndio mshindi wa uchaguzi huu, je tume imechukua hatua gani? Hii tume inaenda kusababisha vurugu kwenye nchi yetu
 
Nimeshangaa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anapiga kampeni against ilani ya uchaguzi ya CHADEMA kwenye suala la madini, anadai eti CHADEMA ikishika dola itagawa madini yetu.

Sasa tume si ijiunge tu na timu ya kampeni ya CCM waifanyie kampeni CCM?

Hilo tamko la tume ni as if walikaa kikao na Polepole wakalidraft pamoja
Against ila ya chadema?

Kwahiyo chadema ilani wanasema itauza madini?
 
Nimeshangaa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anapiga kampeni against ilani ya uchaguzi ya CHADEMA kwenye suala la madini, anadai eti CHADEMA ikishika dola itagawa madini yetu.

Sasa tume si ijiunge tu na timu ya kampeni ya CCM waifanyie kampeni CCM?

Hilo tamko la tume ni as if walikaa kikao na Polepole wakalidraft pamoja
Hilo jamaa linatakiwa lipunguzwe meno yake marefu
 
Hivi mkurugenzi wa tume akikosea inabidi Tundu Lissu afanye nini?

Kwanini Tundu Lissu asimwambie bwana Amsterdam afungue kesi kuomba mkurugenzi aondolewe mara moja kwenye nafasi yake kwa sasabu hayuko huyu kusimamia uchaguzi?

Mbona anaipigia kampeni CCM waziwazi? Haya ndo mambo ambayo ingekua urais unapingwa mahakamani basi iwapo mgombea wa ccm akashinda kwa hizi irregularities ni lazima washindwe kesi mahakamani.
Yani beberu wa Lisu Amsterdam ambae ni raia wa nje aombe mkurugenzi wa tume kutoka tz ambayo ni nchi huru aondolewe?
 
Anaandika Mwalimu Noel Msigwa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imejiaibisha kwa mara nyingine tena. Kumuita mgombea wa Chadema Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili kumtaka ajieleze kwanini anasema lazima atashinda uchaguzi huu ni wazi Tume hiyo Ina mshindi wake mfukoni ambapo wanapata ukakasi wanaposikia mgombea mwingine akisema atashinda uchaguzi huu.

Inafahamika wazi Tume hiyo ya uchaguzi haiko huru na ilichofanya ni maelekezo tu kutoka Chama Cha Mapinduzi baada ya kutishwa na Kasi kubwa ya na Kasi kubwa ya Mgombea wa Chadema.

Wito wa kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29/9 kumeivua nguo Tume hiyo kwani Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Hamphrey Polepole siku moja kabla alishaielekeza Tume hiyo inapaswa kumfanyia Nini mgombea wa Chadema.

Habari za ndani za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zinasema tayari CCM ilishawaelekeza kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa siku 14 kwa hiyo wanachofanya Sasa ni mazingaombwe tu na Utekelezaji wa maelekezo ya CCM.Hata kabla ya Mkurugenzi wa NEC kujitokeza hadharani jana kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29 habari zilishavuja kwamba walishafikia maamuzi na CCM kuzuia kampeni za Lissu kwa siku hizo 14 kuanzia tarehe 1 October.

NEC imeshindwa kuficha mapenzi yake kwa CCM kwani Mgombea wa CCM na chama chake wamekuwa wakivunja waziwazi maadili ya Uchaguzi lakini hawakuwahi kukemewa.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akitoa ahadi za Ujenzi wa Barabara Kama Rais na anapiga simu kuelekeza mawaziri katikati ya mikutano ya kampeni kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akisema katika kampeni zake kamwe hatapeleka Maendeleo kwenye Jimbo au Kata itakayochagua mpinzani kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Tume inasema Lissu kosa lake ni kusema atashinda Urais lakini Tume hiyo haijaona Kama mgombea wa CCM kusema watu hatawapelekewa maendeleo wakichagua mpinzani tayari ni kujitangaza mshindi.

Waziri Mkuu wa Tanzania amekuwa akipita kila Kona ya nchi kufanya kampeni za Mgombea Urais wa CCM kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Uchaguzi imeweka Pamba masikioni.

Mgombea Urais wa CCM amekuwa akitumia Televisheni ya Taifa kuanzia asubuhi mpaka jioni kujitangaza live mikutano yake ya Kampeni huku wapinzani wake wakikosa Fursa hiyo kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba madikioni.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Humphrey Polepole amekuwa akirushwa Live na Televisheni ya Taifa akiongea na Waandishi wa Habari na amekuwa akimtukana mgombea Urais wa Chadema matusi makubwa yasiyoandikika hapa kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba Masikioni.

Mpaka ninapoandika hapa wagombea kadhaa wa Upinzani walioenguliwa kwenye uchaguzi hawajapewa taarifa rasmi wanarudishwa au kuondolewa kwenye kinyang'anyiro baada ya kukata rufaa lakini Tume hiyo Wala haijali zaidi ya kumfungulia mashtaka mgombea Urais wa Chadema kwamba kwanini anasema atashinda Urais.

Yapo mengi Sana ya kuandika hapa hayo niliyoweka ni machache tu lakini itoshe kusema Tume hii na CCM hawakujiandaa na Upinzani mkubwa hivi kutoka Chadema ndiyo maana bila aibu wanamshtaki Lissu eti kwanini anasema atashinda Urais.

Hakuna Vurugu yoyote itakayofanyika nchi hii Kama Haki itatendeka katika Uchaguzi huu.Hawa wanaojihami wamepanga kuiba kura na kufanya uhalifu kwenye uchaguzi huu ndiyo maana wanatapatapa wanapoona mgombea akitaka Haki Itendeke.

Nitaandika zaidi tarehe 2/10 baada ya maamuzi ya NEC ya kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa wiki mbili.
Kama vurugu itatuwezesha kuwaondoa mashetani wa kijani ccm bora iwe hivyo
 
Nimeshangaa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anapiga kampeni against ilani ya uchaguzi ya CHADEMA kwenye suala la madini, anadai eti CHADEMA ikishika dola itagawa madini yetu.

Sasa tume si ijiunge tu na timu ya kampeni ya CCM waifanyie kampeni CCM?

Hilo tamko la tume ni as if walikaa kikao na Polepole wakalidraft pamoja
Wajue Wantsnzania wanapenda,Uhuru,haki na maendeleo,uzalendo maslahi umetuhafibia taifa letu.
 
Anaandika Mwalimu Noel Msigwa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imejiaibisha kwa mara nyingine tena. Kumuita mgombea wa Chadema Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili kumtaka ajieleze kwanini anasema lazima atashinda uchaguzi huu ni wazi Tume hiyo Ina mshindi wake mfukoni ambapo wanapata ukakasi wanaposikia mgombea mwingine akisema atashinda uchaguzi huu.

Inafahamika wazi Tume hiyo ya uchaguzi haiko huru na ilichofanya ni maelekezo tu kutoka Chama Cha Mapinduzi baada ya kutishwa na Kasi kubwa ya na Kasi kubwa ya Mgombea wa Chadema.

Wito wa kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29/9 kumeivua nguo Tume hiyo kwani Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Hamphrey Polepole siku moja kabla alishaielekeza Tume hiyo inapaswa kumfanyia Nini mgombea wa Chadema.

Habari za ndani za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zinasema tayari CCM ilishawaelekeza kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa siku 14 kwa hiyo wanachofanya Sasa ni mazingaombwe tu na Utekelezaji wa maelekezo ya CCM.Hata kabla ya Mkurugenzi wa NEC kujitokeza hadharani jana kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29 habari zilishavuja kwamba walishafikia maamuzi na CCM kuzuia kampeni za Lissu kwa siku hizo 14 kuanzia tarehe 1 October.

NEC imeshindwa kuficha mapenzi yake kwa CCM kwani Mgombea wa CCM na chama chake wamekuwa wakivunja waziwazi maadili ya Uchaguzi lakini hawakuwahi kukemewa.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akitoa ahadi za Ujenzi wa Barabara Kama Rais na anapiga simu kuelekeza mawaziri katikati ya mikutano ya kampeni kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akisema katika kampeni zake kamwe hatapeleka Maendeleo kwenye Jimbo au Kata itakayochagua mpinzani kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Tume inasema Lissu kosa lake ni kusema atashinda Urais lakini Tume hiyo haijaona Kama mgombea wa CCM kusema watu hatawapelekewa maendeleo wakichagua mpinzani tayari ni kujitangaza mshindi.

Waziri Mkuu wa Tanzania amekuwa akipita kila Kona ya nchi kufanya kampeni za Mgombea Urais wa CCM kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Uchaguzi imeweka Pamba masikioni.

Mgombea Urais wa CCM amekuwa akitumia Televisheni ya Taifa kuanzia asubuhi mpaka jioni kujitangaza live mikutano yake ya Kampeni huku wapinzani wake wakikosa Fursa hiyo kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba madikioni.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Humphrey Polepole amekuwa akirushwa Live na Televisheni ya Taifa akiongea na Waandishi wa Habari na amekuwa akimtukana mgombea Urais wa Chadema matusi makubwa yasiyoandikika hapa kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba Masikioni.

Mpaka ninapoandika hapa wagombea kadhaa wa Upinzani walioenguliwa kwenye uchaguzi hawajapewa taarifa rasmi wanarudishwa au kuondolewa kwenye kinyang'anyiro baada ya kukata rufaa lakini Tume hiyo Wala haijali zaidi ya kumfungulia mashtaka mgombea Urais wa Chadema kwamba kwanini anasema atashinda Urais.

Yapo mengi Sana ya kuandika hapa hayo niliyoweka ni machache tu lakini itoshe kusema Tume hii na CCM hawakujiandaa na Upinzani mkubwa hivi kutoka Chadema ndiyo maana bila aibu wanamshtaki Lissu eti kwanini anasema atashinda Urais.

Hakuna Vurugu yoyote itakayofanyika nchi hii Kama Haki itatendeka katika Uchaguzi huu.Hawa wanaojihami wamepanga kuiba kura na kufanya uhalifu kwenye uchaguzi huu ndiyo maana wanatapatapa wanapoona mgombea akitaka Haki Itendeke.

Nitaandika zaidi tarehe 2/10 baada ya maamuzi ya NEC ya kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa wiki mbili.
aw
Huyu mtu anamharibia zaidi Rais wetu Jpm. Hata kuongea hajui alipataje nafasi hiyo?
 
Anaandika Mwalimu Noel Msigwa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imejiaibisha kwa mara nyingine tena. Kumuita mgombea wa Chadema Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili kumtaka ajieleze kwanini anasema lazima atashinda uchaguzi huu ni wazi Tume hiyo Ina mshindi wake mfukoni ambapo wanapata ukakasi wanaposikia mgombea mwingine akisema atashinda uchaguzi huu.

Inafahamika wazi Tume hiyo ya uchaguzi haiko huru na ilichofanya ni maelekezo tu kutoka Chama Cha Mapinduzi baada ya kutishwa na Kasi kubwa ya na Kasi kubwa ya Mgombea wa Chadema.

Wito wa kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29/9 kumeivua nguo Tume hiyo kwani Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Hamphrey Polepole siku moja kabla alishaielekeza Tume hiyo inapaswa kumfanyia Nini mgombea wa Chadema.

Habari za ndani za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zinasema tayari CCM ilishawaelekeza kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa siku 14 kwa hiyo wanachofanya Sasa ni mazingaombwe tu na Utekelezaji wa maelekezo ya CCM.Hata kabla ya Mkurugenzi wa NEC kujitokeza hadharani jana kumuita Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili Tarehe 29 habari zilishavuja kwamba walishafikia maamuzi na CCM kuzuia kampeni za Lissu kwa siku hizo 14 kuanzia tarehe 1 October.

NEC imeshindwa kuficha mapenzi yake kwa CCM kwani Mgombea wa CCM na chama chake wamekuwa wakivunja waziwazi maadili ya Uchaguzi lakini hawakuwahi kukemewa.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akitoa ahadi za Ujenzi wa Barabara Kama Rais na anapiga simu kuelekeza mawaziri katikati ya mikutano ya kampeni kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Mgombea wa Urais wa CCM amekuwa akisema katika kampeni zake kamwe hatapeleka Maendeleo kwenye Jimbo au Kata itakayochagua mpinzani kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi.

Tume inasema Lissu kosa lake ni kusema atashinda Urais lakini Tume hiyo haijaona Kama mgombea wa CCM kusema watu hatawapelekewa maendeleo wakichagua mpinzani tayari ni kujitangaza mshindi.

Waziri Mkuu wa Tanzania amekuwa akipita kila Kona ya nchi kufanya kampeni za Mgombea Urais wa CCM kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Uchaguzi imeweka Pamba masikioni.

Mgombea Urais wa CCM amekuwa akitumia Televisheni ya Taifa kuanzia asubuhi mpaka jioni kujitangaza live mikutano yake ya Kampeni huku wapinzani wake wakikosa Fursa hiyo kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba madikioni.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Humphrey Polepole amekuwa akirushwa Live na Televisheni ya Taifa akiongea na Waandishi wa Habari na amekuwa akimtukana mgombea Urais wa Chadema matusi makubwa yasiyoandikika hapa kinyume kabisa na Maadili ya Uchaguzi lakini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka Pamba Masikioni.

Mpaka ninapoandika hapa wagombea kadhaa wa Upinzani walioenguliwa kwenye uchaguzi hawajapewa taarifa rasmi wanarudishwa au kuondolewa kwenye kinyang'anyiro baada ya kukata rufaa lakini Tume hiyo Wala haijali zaidi ya kumfungulia mashtaka mgombea Urais wa Chadema kwamba kwanini anasema atashinda Urais.

Yapo mengi Sana ya kuandika hapa hayo niliyoweka ni machache tu lakini itoshe kusema Tume hii na CCM hawakujiandaa na Upinzani mkubwa hivi kutoka Chadema ndiyo maana bila aibu wanamshtaki Lissu eti kwanini anasema atashinda Urais.

Hakuna Vurugu yoyote itakayofanyika nchi hii Kama Haki itatendeka katika Uchaguzi huu.Hawa wanaojihami wamepanga kuiba kura na kufanya uhalifu kwenye uchaguzi huu ndiyo maana wanatapatapa wanapoona mgombea akitaka Haki Itendeke.

Nitaandika zaidi tarehe 2/10 baada ya maamuzi ya NEC ya kumzuia mgombea Urais wa Chadema kuendelea na kampeni kwa wiki mbili.
NECCCM Tumeccm wanatembea na matokeo mifukoni mwao wamechukua yale matokeo ya mwaka 2015 wameongezea kidogo eti ndiyo ushindi wa Mtukufu magufuli, mda wa kampeni unapotea bure vyama vinapoteza pesa kugharamia kampeni lakini Tumeccm wana matokeo mifukoni mwao tayari.
 
Nimeshangaa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anapiga kampeni against ilani ya uchaguzi ya CHADEMA kwenye suala la madini, anadai eti CHADEMA ikishika dola itagawa madini yetu.

Sasa tume si ijiunge tu na timu ya kampeni ya CCM waifanyie kampeni CCM?

Hilo tamko la tume ni as if walikaa kikao na Polepole wakalidraft pamoja
NECCCM Tumeccm wote ni wanachama wa CCM kwanza ni ajabu eti CCM inaenda kuihoji chadema?
 
Zile karatasi zenyewe ni maelekezo yameandikwa tayari yaliotoka CCM, bwana mkurugenzi alikua anasoma tu. Hata ukimwangalia usoni unaona nafsi inavyo msuta.
Zile karatasi ni akili ya Polepole imetumika kujibu hoja za Lissu kupitia NEC, ili kumpunguzia hasira Magufuli hakuna namna ingine.

Uchaguzi huu lazima tupasuane matumbo tulane maini, wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom