Mtanzania akikwambia katumia miezi mitano Ongezapo yako Miwili aliyotoa,
Maana unakuta mtu katumia kitu miezi kumi anakwambia nane ili kuipa bidhaa yake thamani.
Bei hii imenishangaza sana !! Sidhan kwamba kuna yard yeyote unawza kukuta gar hii inauzwa bei kubwa hivi na ishatumika miez mitano TZ?? U can't eat acake and still have it!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.