No strings attached....

Wote above mmepatia... but I tend to fully agree with NEMO above zaidi. I quote "Technically yes, but in reality I think not . You may start as such but somehow and somewhere along line ...................it ends up becoming a mess. From what I have seen so far, of similar relationship arrangements eventually, emotions and feelings creep into one of the patners and then inakuwaga matatizo"

Thats a clear fact of the issue...!
 
Sina uhakika kama relation ya namna hii inawezekana!
 
Mmmmh hii ni ngumu, inachosha na inaumiza. Mmmm na kama una wivu kama mimi ndo balaa zaidi, ingawa yawezekana wapo watu wanaweza hiyo.
 
hii ni ngumu sana kwa wanawake. hii ndio conclusion niliyofikia. Kitu hakitolewi bure. Labda awe amelewa...
 
Naona ni ngumu kupatikana, labda wote muwe na relationship zingine nje ya hiyo.
 
No strings attached???????? haiwezekani najua itaishia tu kulekule
 

Wapo wengi sana - Mimi ma-ex wangu ndiyo tunavyoishi - japo wengine wameolewa!
 
Mnaweza mkaanza vizuri kwa hayo makubaliano, lakini tatizo ni mmoja wenu anaponogewa na manjonjo ya mwenzake.......
 
Mh! Watu wameikubali hii ila kesho akitokea mtu yamemuharibikia atalaumiwa hapa na kutukanwa! Mara kicheche blah blah!
 
Mtu B,malizia story basi.....
 
Negro wake up sleeping for fun and no relationship? Even friends they have platonic relationship and they do not do the s** word...

It ain't about being Negroid or Mongoloid its about change of times and being realistic of today's life....Lets not be inferior in every angle just because we have melanin deposition in our skin....
 
 

Mkuu mahusiano ya mtindo huo yapo sana ughaibuni, not sure kwa huko nyumbani.
Mambo ya booty call...............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…