kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Kwenye vituo vya kujiandikisha wapiga kura chadema sio wengi, wanasema hawana uhakakika kama chama chao kitashiriki uchaguzi maana hakuna reform yoyote wanaiona ikifanywa na serikali.
Wajumbe wa CCM wako pembeni kwenye vituo vya kujiandikisha sijui wanafanya nini humo. Wanachukua namba ya simu na kitambulisho cha kupigia kura na kuinakiri kwenye forms za CCM, sikujua inamaanisha nn ingawa mm niligoma kutoa ushirikiano kidogo.
No reform no election itawaumiza chadema kuliko kuwasaidia.
Wajumbe wa CCM wako pembeni kwenye vituo vya kujiandikisha sijui wanafanya nini humo. Wanachukua namba ya simu na kitambulisho cha kupigia kura na kuinakiri kwenye forms za CCM, sikujua inamaanisha nn ingawa mm niligoma kutoa ushirikiano kidogo.
No reform no election itawaumiza chadema kuliko kuwasaidia.