Wameanza kuwapatia,nafikiri ni wakati muafaka wa wao sasa kuangalia uwezekano wa Plan B ile soka ya utamaduni wao wa kupiga pass na chenga mpaka Kipa nafikiri it will no longer work for long,wameanza kupokea vipigo na kuna alili vipigo vikaendelea sana kama hawatabadilika
Kama unategemea panga a.k.a machete halafu plan b iliyopo ni gongo au fimbo,busara ni kuboresha matumizi yako ya panga na sio kukumbilia gongo!ndivyo barca wanavyopaswa kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.