TauHeeeD
Senior Member
- Feb 15, 2013
- 191
- 134
Athari za maandamano huja na uchafu wa kila aina za kuibua hisia za fujo, leo hii LA inaibuka kauli hii, hayajawahi kuwa maandamano ni mwarubaini wa tatuzi lolote, zaidi ya kuchochea uwizi, ubadhilifu, kudhorotesha miundombinu, kuatarisha usalama, kukwamisha harakati za wasakatonge, kuwapa mwanya wanye chuki na visasi kuyafanya yao. Anatokea mtu anakata mti tena sio mti mmoja.