Chimps
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 559
- 356
Hi JF,
Please refers to this post
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/331545-ugonjwa-huu-ni-kitu-gani.html
Watu wengi wali-comment mambo yasiyo eleweka na ya kukatisha tamaa.
Hakuna aliyeweza kutoa solution kwa tatizo hilo.
After several search, kumbe tatizo ni reaction ya daya zenye mchanganyiko wa sulfa.
it is in the group of "Fixed drug eruptions" caused by sulphamethoxazole.
Hii ni alegi ya sulpha.
The guy has been affected with this after taking MALAFIN for treating Maleria.
Then akapata alegi ya sulfa ambayo iko kwenye Malafin
He is now fine after taking medication for alegi.
My Take: Ogopa Malafin, Zinaleta matatizo kwenye Du-sherere. Kama una mke anaweza dhani umekenyaga mambo ya kanga moko, kumbe ni alegi ya sulfa
Cheers
Sokwe a.ka Chimps,
Karibu Kigoma
Please refers to this post
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/331545-ugonjwa-huu-ni-kitu-gani.html
Watu wengi wali-comment mambo yasiyo eleweka na ya kukatisha tamaa.
Hakuna aliyeweza kutoa solution kwa tatizo hilo.
After several search, kumbe tatizo ni reaction ya daya zenye mchanganyiko wa sulfa.
it is in the group of "Fixed drug eruptions" caused by sulphamethoxazole.
Hii ni alegi ya sulpha.
The guy has been affected with this after taking MALAFIN for treating Maleria.
Then akapata alegi ya sulfa ambayo iko kwenye Malafin
He is now fine after taking medication for alegi.
My Take: Ogopa Malafin, Zinaleta matatizo kwenye Du-sherere. Kama una mke anaweza dhani umekenyaga mambo ya kanga moko, kumbe ni alegi ya sulfa
Cheers
Sokwe a.ka Chimps,
Karibu Kigoma