No case to answer"

Hiyo sheria ya kuviziana baada ya kesi kuisha ilishafutwa!
 
Pale hakuna uhaini. Yake yalikuwa mambo ya uchaguzi hakuna aliyepanga kupindua serikali. Uasi sio mchezo kama tunavyodhani. Hapo Mange labda uchochezi.
 
Sheria ya wapi hiyo. Hayo mambo labda Uganda. Mkishafika kwenye proceedings mambo ya kukamatana hayapo. Mnakamatana mapema kabla proceedings hazijaanza.
 
Ipo! Kwa Tanzania hii wanaweza kumsubiria akitoka tu mahakamani au magereza wanamrejesha ndani kwa bambiko lingine!
Kwa kosa Gani?. Humkamati tu mtu. Maana kama uchochezi tayari kesi ipo mahakamani kisutu na alipewa dhamana. Ukamataji unafanyika pale ambapo mnaondoa charge ya zamani na kuanzisha charge mpya kabla proceedings hazijaanza. Ukishaweka nolle Ina maana umekubali yaishe kwenye uhaini.
 
Usiamini sana kusanyiko la wajinga!
 
Eeh hii "no case to answer" ni hatua ngumu sana kweli, mara nyingi huwa ni gamble ya utetezi lakini ikifanya kazi ni ushindi mkubwa sana mahakamani. no cap
 
Nolle ni kudrop charges.
Sio kwamba umeshinda au kushindwa.

Proceedings zinaweza kufika hadi hatua za mwisho na DPP akadrop charges.

kinachozuia DPP asianzishe kesi kama hiyo Hukumu.
Kesi ya Lissu kabla haijafika hukumu.
DPP anaweza kuishusha na kuipandisha tena
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…