Sikiliza wimbo wa Wateule unaitwa 'watu kibao'... Ukifika sehemu anasema 'Hapa hapa tukakomaa nao'... Rudia rudia alafu baada ya hapo utapata ujasiri wa kukomaa nao ivyo ivyo japo kila kona wamecover watu kibao...
ukisema hapa utawasaidia wengi funguka watakupa ulinzi vijana wengi wa siku hizi midomo ni majabali hawawezi kuzungumza na warembo wapo wengi tu humu help them