Najua mkuu mapema but kuna jamaa yang ametumiwa juzi email kua hajafanikiwa kupita kwenye recruitment process so inaelekea hata kuchambua applications naona tayari thus why i asked
Najua mkuu mapema but kuna jamaa yang ametumiwa juzi email kua hajafanikiwa kupita kwenye recruitment process so inaelekea hata kuchambua applications naona tayari thus why i asked
Na hii ni ya central zone ambayo tuliapply tangu July kwahyo hii ya system inachukua muda sana tofauti na ile ya kutuma bahasha ambayo ilikua ni ndani ya siku 14