CMBO
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 398
- 339
Wakuu kwa yeyote ambae either kashawahi kuwa wakala wa NMB yaani anamiliki POS yao, na kwasababu yeyote ile aliacha biashara au anataka kuachana na hiyo biashara mimi shida yangu ni hiyo mashine.
Kama tunaeeza kufanya biashara (aniuzie) then twende branch tubadilishe details niitumie, nipo mazingira ya biashara ambayo wateja wangu wengi wamekuwa wakihitaji hyo huduma, napatikana Dar es salaam.
Anyone interested anicheki PM
Kama tunaeeza kufanya biashara (aniuzie) then twende branch tubadilishe details niitumie, nipo mazingira ya biashara ambayo wateja wangu wengi wamekuwa wakihitaji hyo huduma, napatikana Dar es salaam.
Anyone interested anicheki PM